Bondia Mandoka achapika, Kidunda ashinda, Mapambano ya ndondi Uwanja wa Majimaji - Songea, Julai 30, 2022

Mandonga ni mnynyua vyuma na si bondia , akatafute kazi nyingine ya kufanya na si ubondia!
 
mimi ni Mtanzania but tunafanya upendeleo sana kwa mabondia wetu wa ndani hasa pale wapambanapo na mabondia toka nje
Kulikuwa hakuna haja ya kuanza na utambulisho wa kujifanya wewe ni Mtanzania... ??? Mamluki wahed
 
Hivi Mandonga ni mtu wa wapi yule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…