Bondia mstaafu wa Marekani, Mike Tyson, ameteuliwa na Serikali ya Malawi kuwa balozi wa bangi nchini humo

Sioni popote alipo potosha.

Angeliandika kuwa Malawi imeruhusu matumizi ya bhangi hapo sawa, lakini hili la kutafuta boxer mvuta bhangi ili kupromote zao lao la kibiashara siyo upotoshaji huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wote wataomba kibali cha ulimaji,hali itakuwaje? By the CCTV camera ziwekwe mashambani kukamata wezi maana wabongo watazamia tu huko
 
Kama wote wataomba kibali cha ulimaji,hali itakuwaje? By the CCTV camera ziwekwe mashambani kukamata wezi maana wabongo watazamia tu huko
Mbona hausemi kama watz wote wataomba kibali cha kuwinda wanyama itakuwaje!
 
😀😀😀 Sasa akiwa balozi wa bangi kaziyake ndio nini,kutangaza kama bangi ya malawi ndio nzuri na kalizaidi!!.

Nasiku akitembelea hapa Tanzania aje na ujumbehuo.
Hii ni achievement na inafaida kubwa sana kwa nchi, nchi itajulikana na bidhaa zake zinaweza kupata masoko
 
Sasa siruhusa
 
Yaani MALAWI wavuta BANGI wana enjoy sana,mtu anavuta barabarani na polisi wanamtazama tu sema ndo hivyo tena MIJI yote imejaa MACHIZ.
 
The Ministry of Agriculture of Malawi sent Tyson a letter asking him to take the aforementioned position in the south-eastern African nation, which legalised the medicinal and industrial use of cannabis in 2020, in order to promote economic growth and diversify its economy as the tobacco market declined.



View attachment 2031378View attachment 2031377
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…