vulcan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,742
- 2,459
Wakulima wa pamba Tanzania, kiwanda hiki kinahitaji pamba tonne nyingi sana kwa mwaka,
Hii ni soko kubwa kwa wakulima Africa mashariki kuuza mazao yao.
Rais Uhuru amezidua kiwanda hiki upya , ukulima wa Pamba kenya ulididimia miaka ya 90s baada ya viwanda vingi kuporomoka.
Saa hii kuna demand kubwa kabla wakulima Kenya warudi kwenye ukulima huu.
Karibuni Rivatex Kenya
Hii ni soko kubwa kwa wakulima Africa mashariki kuuza mazao yao.
Rais Uhuru amezidua kiwanda hiki upya , ukulima wa Pamba kenya ulididimia miaka ya 90s baada ya viwanda vingi kuporomoka.
Saa hii kuna demand kubwa kabla wakulima Kenya warudi kwenye ukulima huu.
Karibuni Rivatex Kenya