Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utumie kufanya nini?Wadau jana kwenye mida ya saa 2 usiku nilitumia bongo don na azam energy ila leo nataka nitumie cetrizine
Naomba kuuliza haitoniletea madhara?
Kunywa tu bongo don si umesha ikojoa mpaka saiz.Wadau jana kwenye mida ya saa 2 usiku nilitumia bongo don na azam energy ila leo nataka nitumie cetrizine
Naomba kuuliza haitoniletea madhara?
Lengo lako hasa ni ninii?Wadau jana kwenye mida ya saa 2 usiku nilitumia bongo don na azam energy ila leo nataka nitumie cetrizine
Naomba kuuliza haitoniletea madhara?
Pole mnaojisumbuwa kupiga energy et mkijidnganya inawapa power ktk tendo.Kifupi madhara ya energy mengi.Nashaur acha hiyo.Wadau jana kwenye mida ya saa 2 usiku nilitumia Bongo Don na Azam Energy ila leo nataka nitumie cetrizine
Naomba kuuliza haitoniletea madhara?
Yah ndo ivyo boss maana nina mafua ila nashangaa najibiwa vitu vingi😀😀na theories kibaoWabongo bana, jamaa kauliza baada ya kunywa hizo 'sumu' anataka kumeza vidonge nadhani ni kwa sababu ya kuwa na homa au mafua, sasa kuna madhara yoyote atapata?.
Ndivyo nimeelewa!.
Piga bongo don nyingine leo, dawa ya moto ni motoYah ndo ivyo boss maana nina mafua ila nashangaa najibiwa vitu vingi😀😀na theories kibao