Mtu anayemwita Marioo underground ni mpumbavu mkubwa..Nafkiri leo mmeona ukubwa wa marioo kwenye simba Day..
Kuna tahira mmoja likasema eti marioo ni underground..!
Angeitwa mnyakyusa angeimba nini na kumuamsha nani? Eti "wanaweweseka"[emoji3][emoji3][emoji3]
Qwy we chawa umesikia?
KabisaMtu anayemwita Marioo underground ni mpumbavu mkubwa..
Kwani tunatizama miaka kuwepo kwenye muziki au vigezo gani Mkuu?Sijaona talent kwa marioo, bado sana. Tena sana. Sishangai bongo kuwa na hizi battle za kishamba. Msanii mkubwa kulinganishwa na wadogo ili kumshushA. Wakati flani Aslay aliwahi linganishwa na Diamond, walipochemka wakaanza Marioo napo wakachemka. Ikabidi waendelee na Kiba ambaye ndio kabisa alichemka
Sijui takataka gani ileUzuri hata chawa wenyewe moyoni madude ya marioo wanacheza..
Mnyakyusa juzi katoa inaitwa "wanaweweseka"😀😀😀
Hahahahhaha kama ni Underground na ndo ana nyimbo NATIONAL anthem hiiivi.Acha wajifurahishe...ila Marioo bado underground akue kwanza ndio tumpime.
Wanyakyusa tumewakosea nini [emoji1][emoji1]Rayvany anamshinda Marioo vitu vitatu. Kurembua, kusuka kike kike na kuvaa nguo za marangi rangi za kinyakyusa
Na kamuweka yule mtoto awe video queen naskia 😀Sijui takataka gani ile
Mkuu umekurupuka kuja kuchangia hoja.Kwani tunatizama miaka kuwepo kwenye muziki au vigezo gani Mkuu?
Muziki mzuri una sifa zifuatazo.
Maneno
Melodies
Upangiliaji wa sauti
Uimbaji
Nk.
Vyote hivyo nyimbo za Mario zinazo.
Rayvanny anakosa vitu flan kwenye hivi.
Kuingia wewe na chawa wenzio ndio unatujumuisha na sisi?Lakini huyo unayesema hana uimbaji mzuri akifanya kwa 100k unaingia.
Ila hii ya mnyakyusa "wanaweweseka" ni nyimbo nzuri na inafundisha? Sawa chawaTukiachana na ushabiki ,mario ana kipaji Ila Hana utunzi mzuri, nyimbo nyingi za hovyo hovyo ....!! Nyimbo zilizotambaa kama Moto wa kifuu ni chibonge pamoja na Dar kugumu , nyimbo zingine za marioo ni za hovyo hovyo tuu na kumvimbisha kichwa ...Rayvanny hitsong nyingi , halafu ni upumbavu mkubwa kumringanisha Rayvanny na marioo ifikie hatua watu wapewe heshima Yao kwenye mziki
Ofcouse kuingia muhimu. Maana jamaa akiimba unaburudika. Unaweza kucheza pia. Kama Marioo kawatuma mwambie bado sana. Me namchulia kam underground tu. Level zake ni kina beka flavour, bright na siyo Rayvann.Kuingia wewe na chawa wenzio ndio unatujumuisha na sisi?
Umedata nini?
Poa kachukue malipo ya vocha sasa.Ofcouse kuingia muhimu. Maana jamaa akiimba unaburudika. Unaweza kucheza pia. Kama Marioo kawatuma mwambie bado sana. Me namchulia kam underground tu. Level zake ni kina beka flavour, bright na siyo Rayvann.
Umekubali Marioo ni noma sio??..Safi.Nina 43...na ni old school..rayvany ni mnyama, msanii mara mbili yuko mbali sana na wasanii wenzie....huyo marioo ni mdogo na wala simjui ....!
ila nikasikiliza ile nyimbo na darasa... nikaona kama uchawi.
nimekubali na kukubaliana kwamba..marioo ni smart na rayvanny ni second hand haingii...kiustaarabu tukubaliane..
.
.
Za nini mkuu, mziki ni burudani na ndo kazi ya msanii. Lakini kama unakalia kusema anajua huku hujawahi kumpa hata support...Poa kachukue malipo ya vocha sasa.