Bongo Flava Battle: Rayvanny vs Marioo

Bongo Flava Battle: Rayvanny vs Marioo

Mkuu umekurupuka kuja kuchangia hoja.

Hebu rudi isome title ya huu uzi, poa soma kidogo maelezo ya mtoa uzi. Hapa tunazungumzia battle kati ya Raybann na Marioo.

Shida yenu mnakuja kiushabiki. Hata kama tungesema mziki mzuri bado tu marioo hamuwezi Ray. Kama huamini mimi nakupa miaka 15, huyo marioo apate mashabiki wengi watakao kubali mziki wake amzidi Vann.

MODS PLEASE MTUSAIDIE KUUTUNZA HUU UZI. MIAKA 15 IJAYO TURUDI KUULIZANA MASWALI HAPA.

Tena ngoja ni subscribe kabisa ni save poa kwenye bookmark. Na link nitaisave sehemu amabyo haitapotea.
Hii battle mnashindanisha ufupi wa Wenyeviti wao wa serikali ya mitaa wanakoishi au?
 
Nina 43...na ni old school..rayvany ni mnyama, msanii mara mbili yuko mbali sana na wasanii wenzie....huyo marioo ni mdogo na wala simjui ....!
ila nikasikiliza ile nyimbo na darasa... nikaona kama uchawi.
nimekubali na kukubaliana kwamba..marioo ni smart na rayvanny ni second hand haingii...kiustaarabu tukubaliane..
.
.
I'm old school pia.
Na ni WCB fan wa kindakindaki kabisa.
Ila Mario ni mwanamuziki mahiri kuliko Rayvanny.
 
Nafkiri leo mmeona ukubwa wa marioo kwenye simba Day..
Kuna tahira mmoja likasema eti marioo ni underground..!

Angeitwa mnyakyusa angeimba nini na kumuamsha nani? Eti "wanaweweseka"[emoji3][emoji3][emoji3]
Qwy we chawa umesikia?
Ukiwa chawa(puppet) usichanganye watu wote, looking for cheap loophole unajifanya haujui kama waliendea Simba day.
Mkojani pia aliamsha tena zaidi ya artists wote pale hivyo kwa kigezo chepesi kama hicho basi na Mkojani ni muimbaji maarufu.
 
Mtu anayemwita Marioo underground ni mpumbavu mkubwa..
Mpumbavu ni wewe na ukoo wako wote, kila mtu ana categorize artists kwa mtazamo wake.
It's a free world.
 
Mkuu umekurupuka kuja kuchangia hoja.

Hebu rudi isome title ya huu uzi, poa soma kidogo maelezo ya mtoa uzi. Hapa tunazungumzia battle kati ya Raybann na Marioo.

Shida yenu mnakuja kiushabiki. Hata kama tungesema mziki mzuri bado tu marioo hamuwezi Ray. Kama huamini mimi nakupa miaka 15, huyo marioo apate mashabiki wengi watakao kubali mziki wake amzidi Vann.

MODS PLEASE MTUSAIDIE KUUTUNZA HUU UZI. MIAKA 15 IJAYO TURUDI KUULIZANA MASWALI HAPA.

Tena ngoja ni subscribe kabisa ni save poa kwenye bookmark. Na link nitaisave sehemu amabyo haitapotea.
[emoji817][emoji3581]
 
Mkuu umekurupuka kuja kuchangia hoja.

Hebu rudi isome title ya huu uzi, poa soma kidogo maelezo ya mtoa uzi. Hapa tunazungumzia battle kati ya Raybann na Marioo.

Shida yenu mnakuja kiushabiki. Hata kama tungesema mziki mzuri bado tu marioo hamuwezi Ray. Kama huamini mimi nakupa miaka 15, huyo marioo apate mashabiki wengi watakao kubali mziki wake amzidi Vann.

MODS PLEASE MTUSAIDIE KUUTUNZA HUU UZI. MIAKA 15 IJAYO TURUDI KUULIZANA MASWALI HAPA.

Tena ngoja ni subscribe kabisa ni save poa kwenye bookmark. Na link nitaisave sehemu amabyo haitapotea.
Kuwaka kama moto wa makaratasi na ku'maintain kuwa katika peak kwa miaka ni vitu viwili tofauti kabisa, in few years to come hii thread itaonekana kama kituko.
 
Poa kachukue malipo ya vocha sasa.
Different people with different opinions, kama yeye analipwa basi nawe unalipwa na kama yeye ni chawa na wewe ni chawa wa upande mwingine.
You're just fans who support different artists, nothing more nothing less.
 
Rayvanny career yake ni kubwa kuliko Marioo, hebu tusubiri miaka 2 mbele tuone
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ajabu na kweli yani Marioo awe mkali kuzidi Vanny boy?? Jamaa anajui kuimba sawa ana ngoma kali sawa lakini kwa vanny bado kijana mdogo sana yani vanny huyu mwenye hit song inavuma mpaka ulaya umuweke na Marioo sio sawa.
Tuache kuwafananisha kila mtu afanye mziki wake marioo kufika hata robo ya vanny bado.
 
Ajabu na kweli yani Marioo awe mkali kuzidi Vanny boy?? Jamaa anajui kuimba sawa ana ngoma kali sawa lakini kwa vanny bado kijana mdogo sana yani vanny huyu mwenye hit song inavuma mpaka ulaya umuweke na Marioo sio sawa.
Tuache kuwafananisha kila mtu afanye mziki wake marioo kufika hata robo ya vanny bado.

Marioo ni fire
 
Kwangu mimi Mario anakipaji sana kuliko Rayvany sema tu watanzania hatumzingatii, beer tamu, kwa raha
#Arovera umemaliza kila kitu bia tamu, kila nikiisikiliza hii ngoma nakumbuka enzi zile za dude lingine LA tilalila by Mr blue aeiceeee bs ngoja tunywe bia
 
Ajabu na kweli yani Marioo awe mkali kuzidi Vanny boy?? Jamaa anajui kuimba sawa ana ngoma kali sawa lakini kwa vanny bado kijana mdogo sana yani vanny huyu mwenye hit song inavuma mpaka ulaya umuweke na Marioo sio sawa.
Tuache kuwafananisha kila mtu afanye mziki wake marioo kufika hata robo ya vanny bado.

Vanny boy ana balaa
 
Back
Top Bottom