Vitu original bongo ni mitumba tu.Jezi ya nyumbani ya Aston Villa kwa UK inauzwa kwa paundi 55.
Kumbuka paundi moja ni shilingi 3013.67.
55*3013.67=165715
Halafu hapa mnatuuzia jezi Tsh 30000 na kutuambia original.
Bongo hakuna jezi original.
Naitwa Six Man.
View attachment 1334617
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu mkuu hata hiyo kama ulinunua 30k ulipigwa bado[emoji3][emoji3][emoji3] maana hizi zenye quality ya kawaid ni 20k tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu sio free delivery. Jezi za wenzetu orijino ni ghali. Tofauti na tunavyodanganywa hapaBei yako ina "free delivery" lazima ipande, bongo hatuna ubwanyenye huo wa kuletewa nguo nyumbani... plus ya kwako umesema ni "ya nyumbani." Tunavaa ya ugenini... its cheaper
35k
Jezi ya samagoal ni laki 3 na ushee.
Yaani hawa jamaa wanaweza rudisha hela yao kwenye mauzo ya jezi tu.
Ni original, ila hizo original pia zina grade, hizi tunazovaa bongo hata wenye club wanazitambua na kuna mapato wanapata kutokana na jezi tuzivaazo sisi shit kantriNgoja shafi dauda aje ajibu hapa...
Atuambie zile anazouza anazitoa wapi...!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Paundi sio elfu tatu we jamaaJezi ya nyumbani ya Aston Villa kwa UK inauzwa kwa paundi 55.
Kumbuka paundi moja ni shilingi 3013.67.
55*3013.67=165715
Halafu hapa mnatuuzia jezi Tsh 30000 na kutuambia original.
Bongo hakuna jezi original.
Naitwa Six Man.
View attachment 1334617
Sent using Jamii Forums mobile app