Internet-Money
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 493
- 1,135
Hii ni moja ya kazi Magufuli. Navuta picha Kama kungekuwa na Rais kama Magufuli kwa awamu tano, Je Tanzania ingekuwa vipi? CHEKI VIDEO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na shangaa mtu anapiga kelele za viwanda havijatengenezwa na Magufuli , wakati barabara na umeme hakuna. Hii ilikuwa ni from scratch ya Nchi Ya ViwandaWapumbavu watakwambia hawali barabara
>Fanya fujo isiyoumiza watu.
Unge weka mawazo yako , ili tupime IQkila mtu na iq yake, ndio shida ilipo
Labda hiyo kazi , itakamilika miaka 30 ijayoUshamba unakusumbua tu huna jipyaa subiri daraja la kutoka dar mpaka unguja utasema bongo ni kama mbinguni
Hii ni moja ya kazi Magufuli. Navuta picha Kama kungekuwa na Rais kama Magufuli kwa awamu tano, Je Tanzania ingekuwa vipi? CHEKI VIDEO
Hii ni moja ya kazi Magufuli. Navuta picha Kama kungekuwa na Rais kama Magufuli kwa awamu tano, Je Tanzania ingekuwa vipi? CHEKI VIDEO
Hii ni moja ya kazi Magufuli. Navuta picha Kama kungekuwa na Rais kama Magufuli kwa awamu tano, Je Tanzania ingekuwa vipi? CHEKI VIDEO
hahahahaKazi za JPM hizo zinaonekana sio wale wanao zurura kutwa kuchwa kwenda kusalimia memba wa ukoo wao nje ya nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Hii ni moja ya kazi Magufuli. Navuta picha Kama kungekuwa na Rais kama Magufuli kwa awamu tano, Je Tanzania ingekuwa vipi? CHEKI VIDEO
Hizi ndoto sio za leo wala kesho kutwa...ndoto za vijiweni na watu wasiotaka kushughulisha akili zao...Ushamba unakusumbua tu huna jipyaa subiri daraja la kutoka dar mpaka unguja utasema bongo ni kama mbinguni
Hakika. Watasema hakuna daraja kama hilo Afrika.Ushamba unakusumbua tu huna jipyaa subiri daraja la kutoka dar mpaka unguja utasema bongo ni kama mbinguni