Bongo movie acheni majungu hivi hatutafika

Bongo movie acheni majungu hivi hatutafika

Kwa hawa wanawake hivi wema nini kimemshindisha hyo tuzo?Riyama deserve than her.
Hata Mimi nimeshangaa, tuacheni ushabiki wa kinafiki ktk kipengele hichi mashindi hakustahili kua Wema.
 
Hata Mimi nimeshangaa, tuacheni ushabiki wa kinafiki ktk kipengele hichi mashindi hakustahili kua Wema.
Huyo unayedhani ndie alistahili; je filamu aliyoshiriki iliwasilishwa kwenye awards?

Kama ndiyo; je ulipofika wakati wa kupiga kura; wewe binafsi; ulimpigia?!
 
Aisee kuliko kuangalia Bongo lala bora niangalie akili akili ya TBC
 
Kwa style hii ya Bongo movie kupigana vijembe na kuonyeshana chuki hadharani kweli mtafika?
Juzi baada ya usiku wa tuzo kuisha na wasanii Wema na Gabo kuchukua tuzo wengi wameonyesha kutokupendezwa na kuonyesha chuki hadharani.

Hivi mlikua wapi kupeleka kazi zenu mpk mulalamike hvyo?

Mbona mna majungu hvyo?
Hivi mtafika Bollywood au Hollywood au ht Nolywood kwa style hii?

Tunapenda sana sanaa ila mnatukatisha tamaa kwa movie zenu mbovu zisizovutia tumebase kwa wazungu,wakorea wahindi n.k

Ifike mahali mjitathmini wapi mlikosea sio kupondaa tuuu!au kwa kua kapata Wema?!

Mlitaka akose mfurahi?!Dah!badilikeni jamani!tunahitaji kina Lupita Tanzania!
Mmenifadhaisha mnoo Bongo movie mnoo!

Wasanii wengi wa kike mnachojua kuoa viben ten na wanaume kua wadananda(makuwadi).
Leo Azam wameanzisha Sinema zetu International Film Festival mmeambiwa mpeleke movie hamjapeleka!Leo kapata tuzo mnalalamika!

Acheni roho mbaya nyie kina Batuli.
Majungu ni mtaji mkuu kibongobongo
 
Wasanii wengi wa Bongo Movie ni Vilaza, Na kilaza bila majungu hawezi kuishi maisha marefu hasa hapo Dar.
 
Tatizo langu kubwa lipo kwa hizo awards zenyewe. Hivi ni award au Tamasha la filamu?
Na kama tamasha litakua vipi International film festival wakatini filam za kiswahili tu?
Hawa waandaji vipi wazima kwanza? yani kwenye jina tu wameshachemka tayari.
 
Hata mimi nimeona hizi awards za Azam zitasaidia kuwatoa kwenye usingizi wa kulewa umaarufu usio na tija.

Irene ajitazame upya. Alikuwa star wa bongo movie anayekubalika sana hadi nje ya Tanzania. Lakini hakuulinda ustar wake kwa kufanya kazi nzuri zaidi. Alipoona umaarufu unapungua akaona asafishe nyota kwa kujikabidhi kwa Ben7. Sasa kasahau kwamba hicho si kigezo cha kupata award.

Simfuasi wa bongo movie, lakini Irine hana mpizani kwa bongo, Hamna anemkamata kabisa.
 
BINTI ZANZIBAR NDIYO WALINYAKUA TUZO NYINGI LAKINI SISIKII HAWA WASANII WAKILALAMIKA ILA WEMA&GABO IMEKUWA TATIZO.Tuwalalamikie basi Wahadhiri na Maprof walioteua Washindi.Maana Majaji walitoka Tanzania,Kenya,Uganda &Rwanda pamoja na People Choices
 
Naona unawaongelea watu wawili, Riyama Ally na Steve Nyerere
 
Back
Top Bottom