inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
wewe jini ulishawahi onana nae wapi,hadi ukaona akivuka barabara haangalii pande zote?Kabla hawajaanzisha TV station waanze kuwa wabunifu kwa kazi zao sio kazi zile zile za jambazi kuvua viatu na jini kuangalia kulia na kushoto anapovuka barabara .... n.k otherwise hata hiyo TV station itabuma tuuuuuuuuu.
jane wa anold alipotekwa alikuaje,tuwekee pichaIli watudanganye vizuri kama hiviView attachment 506887 eti hawa wametekwa halafu kaja askari shupavu kuwaokoa
Hii ni komediIli watudanganye vizuri kama hiviView attachment 506887 eti hawa wametekwa halafu kaja askari shupavu kuwaokoa
ndo mlivo wabongo,kuponda vyenu na kutukuza vya watu,wafilipino kila siku mtoto alipotezana na mzazi wake angali mdogo,bdae patakua na D.N.A itayomtambulisha baba yake,lakin hamuachi kutazama wala hamsemi yaleyale kwa kuwa wana makalio meupe na wanaongea lugha ngeni,cd zenyewe mnakodi kwa jero na hamjali kama halisi kisha mnalilia vitu vizuriHawa watu sijui wanawaza nini tu, hizo muvi zao za kurekodi na camera za harusi siangalii ng'ooo!
JINI LINAOGOPA KUVUKA BARABARA MOVIE GANI HIZO? ANGALIA HATA MOVIE ZA WENZETU NI WABUNIFU SANA POLE NA WEWE KAMA NI MWIGIZAJI BUT JITAHIDI KUWA MBUNIFUwewe jini ulishawahi onana nae wapi,hadi ukaona akivuka barabara haangalii pande zote?
jini kabulaKazi zipi? Hizi tunazozijua? May be wataaangalia wenyewe au mwisho wa siku wataishia kupiga mziki wa bongo flavour tu
ndo mlivo wabongo,kuponda vyenu na kutukuza vya watu,wafilipino kila siku mtoto alipotezana na mzazi wake angali mdogo,bdae patakua na D.N.A itayomtambulisha baba yake,lakin hamuachi kutazama wala hamsemi yaleyale kwa kuwa wana makalio meupe na wanaongea lugha ngeni,cd zenyewe mnakodi kwa jero na hamjali kama halisi kisha mnalilia vitu vizuri
Hawana akili kabisaIli watudanganye vizuri kama hiviView attachment 506887 eti hawa wametekwa halafu kaja askari shupavu kuwaokoa
Waongo waongo tu,kazi kuturingishia nguo na maumbo yaoHii ni komedi
Hawana akili kabisa
[emoji2] [emoji2]umenilazimisha kucheka!!Kabla hawajaanzisha TV station waanze kuwa wabunifu kwa kazi zao sio kazi zile zile za jambazi kuvua viatu na jini kuangalia kulia na kushoto anapovuka barabara .... n.k otherwise hata hiyo TV station itabuma tuuuuuuuuu.
kilichokufanya uone wale bongo hawajatekwa vizuri ni kitu gani?
Bongo movies sometime wanalaumu watz kumbe wao wenyewe hawajiangalii[emoji2] [emoji2]umenilazimisha kucheka!!
kilichokufanya uone wale bongo hawajatekwa vizuri ni kitu gani?