Tetesi: Bongo movie kuanzisha tv station

Tetesi: Bongo movie kuanzisha tv station

Kabla hawajaanzisha TV station waanze kuwa wabunifu kwa kazi zao sio kazi zile zile za jambazi kuvua viatu na jini kuangalia kulia na kushoto anapovuka barabara .... n.k otherwise hata hiyo TV station itabuma tuuuuuuuuu.
wewe jini ulishawahi onana nae wapi,hadi ukaona akivuka barabara haangalii pande zote?
 
Hawa watu sijui wanawaza nini tu, hizo muvi zao za kurekodi na camera za harusi siangalii ng'ooo!
ndo mlivo wabongo,kuponda vyenu na kutukuza vya watu,wafilipino kila siku mtoto alipotezana na mzazi wake angali mdogo,bdae patakua na D.N.A itayomtambulisha baba yake,lakin hamuachi kutazama wala hamsemi yaleyale kwa kuwa wana makalio meupe na wanaongea lugha ngeni,cd zenyewe mnakodi kwa jero na hamjali kama halisi kisha mnalilia vitu vizuri
 
wewe jini ulishawahi onana nae wapi,hadi ukaona akivuka barabara haangalii pande zote?
JINI LINAOGOPA KUVUKA BARABARA MOVIE GANI HIZO? ANGALIA HATA MOVIE ZA WENZETU NI WABUNIFU SANA POLE NA WEWE KAMA NI MWIGIZAJI BUT JITAHIDI KUWA MBUNIFU
 
Hii haitatusaidia zaidi ya kutuharibia tamaduni zetu maana kazi nyingi wazifanyazo zinaonyesha mapenzi zaidi ya mafunzo kwa jamii
Mapenzi si utamaduni wetu? Wahaya wameanza hiyo biashara kabla ya uhuru.
 
Nikatae kuangalia
-Aljazeera
-ITV
-CNN
-BBC
-Discover Chanel
-Discover Science

Nije niangalie huo upuuzi? Hawapo sirious

BTW waifungue hyo chanel nadhani watazamaji wengi watakuwa Ma housegirl
 
Bora hizo wanadanganya kiaina sasa bongo movie funga kazi eti jamaa anamuonea wivu mkewe akaajiri mtu wa kumchunguza,mchunguzaji akavamia nyumba afumanie bastola mkonon ka jambazi akaingia hadi chumban kwa wenye nyumba hakukuta mtu kwenda bafun kamkuta mama mwenye nyumba anaoga,jamaa ilifukuzwa huku imemlenga mama mwenye nyumba bila mhusika kushtuka kuna bastola eneo hilo. Yaan anaambiwa toka huna adabu naoga hahaha jamaa ikaondoka
ndo mlivo wabongo,kuponda vyenu na kutukuza vya watu,wafilipino kila siku mtoto alipotezana na mzazi wake angali mdogo,bdae patakua na D.N.A itayomtambulisha baba yake,lakin hamuachi kutazama wala hamsemi yaleyale kwa kuwa wana makalio meupe na wanaongea lugha ngeni,cd zenyewe mnakodi kwa jero na hamjali kama halisi kisha mnalilia vitu vizuri
 
basement-scene.jpg

jane wa anold alipotekwa alikuaje,tuwekee picha
 
Kabla hawajaanzisha TV station waanze kuwa wabunifu kwa kazi zao sio kazi zile zile za jambazi kuvua viatu na jini kuangalia kulia na kushoto anapovuka barabara .... n.k otherwise hata hiyo TV station itabuma tuuuuuuuuu.
[emoji2] [emoji2]umenilazimisha kucheka!!
 
Back
Top Bottom