LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
sijakataa kuzidiwa na sijamaanisha najigamba mkuu,ila kuna hapo juu kwa maelezo yake na kejeli nimeona kabisa kuwa nimemzidi mkuu,maana anaongea utumbo tu,so ujumbe huo ni kwa ajili yake na si wewe au mwingine yeyote...Unajuaje kuwa upo "deep sana" na unaweza kuwa msaada kwa wengine ambao baadhi yao wanskuzidi? Unapima IQ ya mtu kwa kuangalia comments?