Bongo movie ni kikundi cha CCM kwa sasa

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Wasanii mbalimbali wa tasnia ya Filamu Tanzania wakiongozwa na mwigizaji Steve Nyerere leo September 16, 2017 wamekutana na Waandishi wa habari kuzindua Kampeni ya Uzalendo Kwanza ambao una lengo la kuitangaza na kuilinda Tanzania katika kuwaunga mkono viongozi wakuu wa Tanzania akiwemo President Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu

 
mie nilishakataa kabisa kununua movies zao na nilizokuwa nimenunua nilitupa jalalani, wanakera sana badala ya kufanya kazi zao wao wanaingiza na siasa, hapo ndio wanaharibu na watatumika sana, njaa hizi
 
Walipo kosea ndo hapa, walijiingiza kwenye siasa, halafu Steve Nyerere ana waburuta kama toroli. Wafanye kazi waache hizi mambo
 
Hawa hawajui wanataka nini na hawajui wanapoenda, pole yao
 
hiki ndio pekee wanacho weza vingine visha washidha
 
yan hata wabinuke hawawez uza movie zao kwa kukosa ubunifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…