Bongo Movie tunaenda au tunarudi?

Bongo Movie tunaenda au tunarudi?

sheby dunia

Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
78
Reaction score
83
Habari wakuu,

Najua kuna watu wamejtoa kabsa kufatilia Bongo Movie lakini embu tujadili kidogo mana hakuna namna mtoto hata akiwa taira huwezi msusa.

Nimejaribu kukaa kuwaza kwanini Bongo Movie haipandi kimataifa.

Na hizi ndo sababu nilizoziona.

1. Directors
Baadhi ya madirector wamekua wakshndwa kutanua wigo wa kaz yao wanapenda sana ku-base kwenye vitu vya aina moja story za kufanana na hii kitu inapunguzo mvuto.

2. Actors/actresses

Hapa bado changamoto sana kiwanda cha movie Bongo na baadhi ya ma-director uwa wana angalia sana umaarufu mvuto kuliko kpaji iki kitu nacho kinaua bongo movie.

3. Mashabiki /Watanzania

Baadhi ya Watz wamekua wakuundermine kila siku bila kutoa mda kuwapa nafasi ya kuangalia movie sio movie zote mizinguo kuna watu wako serious.

4. Mwisho kabisa movie ni kazi na sio sherehe kama wanavofanya ma-director wengi wanaeka watu kwa umaarufu na kuacha vipaji
 
Industry Itakuwa mda si mrefu ngoja watu sahihi wafike wanakuja najua tu
 
Walishaenda walishafika mwisho mbona kitambo sana.

Tuko nao tunawaunga mkono wakorea. Fully burdan.

Hivi Hao Bongo muvi waliishiaga wapi. Kwani bado wapo.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hawana pesa za vifaa kazi mkuu, story rahisi ni mapenzi mapenzi tu ndo hazina gharama kubwa sana.

Halafu nchi za wenzetu wako advanced kwenye mambo mengi, na pia movies zao nyingi zinabase kwenye true events zilizoshaga tokea huko wanatwist kidogo tu coz hata bajeti unawaruhusu kufanya chochote. Serikali inawapiga tafu.

Sasa hapa movie ya mapigano wanatumia bunduki toy kabisa kabisa aisee halina hata uhalisia unaona kabisa hili plastic hili.
 
Hawana pesa za vifaa kazi mkuu, story rahisi ni mapenzi mapenzi tu ndo hazina gharama kubwa sana.

Halafu nchi za wenzetu wako advanced kwenye mambo mengi, na pia movies zao nyingi zinabase kwenye true events zilizoshaga tokea huko wanatwist kidogo tu coz hata bajeti unawaruhusu kufanya chochote. Serikali inawapiga tafu.

Sasa hapa movie ya mapigano wanatumia bunduki toy kabisa kabisa aisee halina hata uhalisia unaona kabisa hili plastic hili.
Pia wenzetu wanatumia sana story za kwenye vitabu na kuzitengenezea movies, hapa kwetu kusoma vitabu ni ishu kubwa
 
Pia wenzetu wanatumia sana story za kwenye vitabu na kuzitengenezea movies, hapa kwetu kusoma vitabu ni ishu kubwa
Kweli tupu mkuu story zao nyingi wanatoa vitabuni ama visa vya kusadikika vilivyosisimua wao wanatengenezea movie.
Kwa hapa sijui kama wanafanya ivo aisee.
 
Kweli tupu mkuu story zao nyingi wanatoa vitabuni ama visa vya kusadikika vilivyosisimua wao wanatengenezea movie.
Kwa hapa sijui kama wanafanya ivo aisee.

Kufanya adaptation ya kitabu kuwa movie inahitajika upewe ruhusa na wenye copyrights ukiachana na hivyo Tz tuna waandishi wangapi wazuri wa vitabu vya aina hivyo?
 
Kufanya adaptation ya kitabu kuwa movie inahitajika upewe ruhusa na wenye copyrights ukiachana na hivyo Tz tuna waandishi wangapi wazuri wa vitabu vya aina hivyo?
Kama ni mpenzi wa vitabu basi hutashangaa nikikwambia tuna watunzi wengi nguri na mahili wa vitabu. Walikuwepo na bado wapo vijana wengine wadogo wanachipukia kwenye hiyo sanaa.

Mfatilie tu George Mosenya ni mtunzi mzuri wa simulizi za maisha & mahusiano. Ni story nzuri tu mkuu.
 
Bongo movie sasa wamejikita kuuza kazi kwa Dstv na Azam
 
Tafsiri ya kipaji cha kuigiza kwa hapa kwetu ni uwe na makelele na maneno mengi kama cherehani baas kazi umepata..
 
Back
Top Bottom