Kwan huyo mark sio Dj,na ndio Dj anaefahamika kuliko huyo murphyDj Murphy sio dj mark
Huyo Dj mark ni wa wapi mkuuKwan huyo mark sio Dj,na ndio Dj anaefahamika kuliko huyo murphy
Kwani akina Mlela wanapoweka maneno ya kiingereza, yayotafasili kiswahili kilichotumika kwenye movie zao huwa wanataka nini ?Akiongea kwenye E news ya East Africa Yusuph Mlela amesema bongo movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la bongo moviea
Mlela" tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa"
Bongo movies wameamua
Hahaha hiyo ya ring ndo hatariiiAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu
Sorry mkuuAkiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.