Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
my professional is a loyer, dadadekiHahaha hiyo ya ring ndo hatariii
Kujua wa wapi wala haitakusaidia maana ww ni mchanga kwenywe hii tasnia ya..........Huyo Dj mark ni wa wapi mkuu
Copyright act inambana sema serikali haifatilii japo imesign mikataba ya kimataifa wao wanadowload movie moja wanatafsiri afu wanaburuza mengi wanauza hata kodi hawalipiBongo movie wameishiwa swagga, sasa kwa mfano jamaa (Dj Murphy) akafuata taratibu za kulipa kodi na taratibu zote halafu akaendelea kutafsiri, watakuja na swagga gani tena?
DJ Murphy analipa kodi na kazi zake ziko kihalali jaribu kufika studio kwake utaonaBongo movie wameishiwa swagga, sasa kwa mfano jamaa (Dj Murphy) akafuata taratibu za kulipa kodi na taratibu zote halafu akaendelea kutafsiri, watakuja na swagga gani tena?
Dj murphy analipa kodi na anatambulka hata ukifanya vigisu vigisu za movie zake anakushtak so tutaona mwisho wakeBongo movie wameishiwa swagga, sasa kwa mfano jamaa (Dj Murphy) akafuata taratibu za kulipa kodi na taratibu zote halafu akaendelea kutafsiri, watakuja na swagga gani tena?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nicheke kwanza
Nimecheka kwa sauti