Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu
6a5253fc4b1a254e6890064148e33f55.jpg
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watengeneze muvi zenye ubora waache kulazimisha maigizo yao kutazamwa. Watazamaji waachwe huru kuchagua watakacho
 
Bongo muvi bongo lala..taaluma isiyotumia akili..bali matakle.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mfano ni pale muigizaji wa bongo muvi anapoigiza jini, jini gani linapovuka barabara linaangalia upande wa kushoto na kulia ndio livuke barabara? Muvi za kibongo bado hazina uhalisia ni maigizo matupu. Bongo muvi wajifunze kwa wenzao wa nje kucheza picha za uhalisia, sinema zao zivutie watazamaji kwanza ndio wapige marufuku hao ma dj wanaotafsiri muvi za nje
 
Mfano ni pale muigizaji wa bongo muvi anapoigiza jini, jini gani linapovuka barabara linaangalia upande wa kushoto na kulia ndio livuke barabara? Muvi za kibongo bado hazina uhalisia ni maigizo matupu. Bongo muvi wajifunze kwa wenzao wa nje kucheza picha za uhalisia, sinema zao zivutie watazamaji kwanza ndio wapige marufuku hao ma dj wanaotafsiri muvi za nje
[emoji23][emoji23]
 
Akiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.

Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".



Bongo movies wameamua.
Waanze na Azam TV wanaotafsiri movies na tamthiliya za nje!! Wao wajiongeze tu kwenye uandaaji wa movie zao!!
 
Hawa watu walijiua kitasnia wenyewe badala ya kuweka watu wenye vipaji wao wakaendekeza wauza sura ngono na watafuta umaarufu kwa nguvu,,
 
Back
Top Bottom