Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BwanaHizi mechanical strategies nani anawafundisha?
Oraaaaaaaaita.! wako Dj top ranking Dj Afro.!Nchini Kenya yupo DJ flani hivi jamaa anajiita 'DJ Afro'.Ukitazama movies zilizotafsiriwa na huyu DJ hautakuja kuangalia bongo movies milele,jamaa ametafsir movie nyingi sana kama vle Brothers Grimsby, Viral factor,fast and furious zote,movies zote za Dolph Lundgren,Movies za Michael Dudikoff,Prisoners of war the escape (P.O.W),Escape from Surbibor, Many ways to die in the west, movies za Keny Koshugi (mtoto wa Shokoshugi),Yankee the Zulu.Pia ukifuatilia kpind cha Churchill show huwa wanapenda kumualika,huyu DJ yuko very talented na huwa napenda movies zake kwa kuwa huwa anatafsiri tukio na cyo maneno.Kwa fikra hizi wanazokujanazo ndugu zetu wa bongo movies wanapaswa kujipanga.
watu wapo standby kutuma emails na kupiga simu siku wakithubutu kuwasgusa kina dj mark,sasa hivi vinakusanywa vipande vya hizo movies walizoiba soundtracks tena hadi steps entertainment watahusishwa kwenye hizo kesi maana wao nod wananunua copyrights,wakapambane na mastudio ya marekani sasa wakisaidiwa na bashite waoKuna baadhi ya movie za kibongo wana copy mpaka soundtrack za movie za ng'ambo, sipati picha nao wakishitaki kwa kuibiwa ubunifu wao.
Hili ni janga haswaaa sijui wanawazaga nini yaaniWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Tehehehhhehh..mkuu we ni kama mimi. Kilichonifanya nisiangalie hizi mubi zaidi ni hizi sub title. I can not believe hakuna watu wa kutafsiri english vizuri, lakini wao wanajifanya wanajua kila kitu...shame!Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()