Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Wawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Kweli mkuu ni kero kabisaaaa...hapa ingefaa Bongo movie wawe wabunifu na kutoa movie zinazoedana na level za kisasa...wamekua so predictable yaani picha inaanza unaweza kubet itaisha aje na mbaya zaidi nyingi havina viwango..tangu marehemu Kanumba aodoke ni kama vile wamekosa mwelekeo wa kutoa movie quality...kwa kweli watasubiri sana..
 
Wamechanganyikiwa hao na bado.... Shwaini
 
Hahaa aisee ni kichekesho cha mwaka. Bongo movie wamejiharibia wenyewe hasa baada ya kuikurupukia insta kwa pupa,wana majibu ya dharau sana mitandaoni,nyodo nyingi,kujionesha wana hela sana bila kusahau movie zao chini ya kiwango wakwendree tu.
Afu wanazingua sana, vilaza mnooo...hakuna hata director or producer amejitolea kwenda nje kuongeza ujuzi....hela zote wanaishia kuweka dawa nywele na kupaka poda
 
Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu
6a5253fc4b1a254e6890064148e33f55.jpg
Hizi watoto wa st nanii,hawawezi tazama.....
 
Hao jamaa wapumbavu sana.. Hii ni soko huria ambamo kitu kibora kinajiuza chenyewe.. Movie hazijaanza kutafsiriwa Leo na pia km wanavodai kuwa jamaa wanawaharibia hawajui kuwa watu wamejiajiri kihivo
 
Wabongo move bhado sn, msitulazimishe kula kisichofaa kisa eti cha nyumbani, mimi nanunua hd move ya ulaya hata kwa elfu 25 lakini hiyo ya kibongo buku 2 sitoi, mtu anaamka asubuhi ana mekapu, mtu anaishi kijijini ana mekapu na wave, Jini kavaa tisheti ya arsenal, stelingi wa move kamikaze, dairekta kamikaze, kamera man kamikaze, mekapu kamikaze, skript kamikaze, saund trak kamikaze, hapo unategemea nini?
 
Ni acheche production
Kwa Mara nyingine teyna
Aise DJ marck ni zaid ya translator anafaa kuwa radio presenter anajua kutafsr kuunganisha matukio na kihadithia pia nimeangalia translated movies lakini huyu anajua na anakufanya muangaliaji ujisikie raha na hamu ya kuendelea kuangalia muvie
Zaman kina MTU alikua anaotwa mkandala lifufu almarhuum alianza ila huyu kuku ngwenndu Wa zabanga alikuja kumfunika vibaya
Jamani maki anajua sio wale waarysha na movie zao za chakolii
 
Tukijankatika mada wabongo movie hawana akili
Mwanzon walikua hawajui lolote lakini kupitia tamthilia ya Kenya pendwa tz tausi kama mnaikumbuka tulijifunza kuigiza tokea hapo ikawa mlinz lazma awe kama kilonzo bosi awe kama sango na familia yake msomi awe kama jesika hakuna mabadiliko kuanzia pozi mpaka story sasa
Nigerian movie zilipopata solo kubwa Tanzania watz wakaiga tena movie za kivhaw na majini mpaka sasa tumekwama hapo hapo mapenz maisha ya unyanyasaji ngono na ushirikina ofkoz tumechoka ikiwa bongo kuna visa ving ambavyo MTU anaweza kuangalia na kutunga kiss cha kufana katika movie industry
 
Et nakaa kabisa kuanglia bongo movie hahahaa ! Jamaa wanaogopa ushindani ! Ukifanya kazi nzuri huwezi kuogopa hizi movie za nje ; tatizo bongo movie mnataka mfanye kazi ya laki sita mpate milioni ishirini! Mnajidanganya hzo movie mtazizua na bado zipo online , ushauri wa bure ongezeni ubunifu na wekezeni pesa ya kutosha mtatoka tuu!@#
 

Ha ha ha I can't believe this! Yaani hawa kuna hatua 6 kabla movie haijamfikia mteja wameshindwa kujua kulikuwa na kosa hilo la lugha? Hawa jamaa wanastahili kupigwa na njaa.

1. Development
2. Pre-Production
3. Production
4. Principal Photography
5. Wrap
6. Post-Production
7. Distribution
 
Wabongo move bhado sn, msitulazimishe kula kisichofaa kisa eti cha nyumbani, mimi nanunua hd move ya ulaya hata kwa elfu 25 lakini hiyo ya kibongo buku 2 sitoi, mtu anaamka asubuhi ana mekapu, mtu anaishi kijijini ana mekapu na wave, Jini kavaa tisheti ya arsenal, stelingi wa move kamikaze, dairekta kamikaze, kamera man kamikaze, mekapu kamikaze, skript kamikaze, saund trak kamikaze, hapo unategemea nini?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kwenyesoko ulia kama hili kila mtu anapanga bei kutokana na jinsiulivyonunua au ulivyo tengeneza bizaa zako.. Sasa nashangaa kwenyesoko ulia kubwa kiasihiki kunawapuuzi wana waza kueendelea kuwanyonyo wa tz kwakuwapangia bei za move.. Wajinga wahivi walishapita..labda niwashauli nyie bongo move tungeni hadisi zenyemashiko mtauza kwabei yoyote mnayotaka lkn tofautinahapo hakuna msaada bongo move lazima mpotee kabisa
 
Back
Top Bottom