Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kawaingiza chakaNdo madhara ya kushauriwa na Bashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaingiza chakaNdo madhara ya kushauriwa na Bashite
Wanataka hakiBongo movie kabisa wamekaa wameona solutions no kumshitaki DJ muphy? Haihitaji elimu ya chuo kikuu hawa jamaa wanatapatapa
Analipa kodi gani?DJ Murphy analipa kodi na kazi zake ziko kihalali jaribu kufika studio kwake utaona
Analipa kodi wapi?Dj murphy analipa kodi na anatambulka hata ukifanya vigisu vigisu za movie zake anakushtak so tutaona mwisho wake
Mlela kavurugwa na njaa kaliKwani akina Mlela wanapoweka maneno ya kiingereza, yayotafasili kiswahili kilichotumika kwenye movie zao huwa wanataka nini ?
Waache ujinga,anayetakiwa kumshitaki huyo DJ ni Wamiliki wa hizo movie zinazotafasiliwa siyo akina Mlela na wenzake.
Yeye anakudharau zaidiMlela nishaanza kumdharau
Kuangalia huu ujinga ni kuyanyima haki machoHahaha hiyo ya ring ndo hatariii
Kwani mwanzo ulinunua?Bongo muvi wanaanza kumtafuta mchawi nani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hatununui ng'ooo mafilamu yao hata wafanye nini.
Wanamshitaki kwa niaba yaoSasa hapa najiuliza hao bongo muvi wanachukia kwa sababu gani?
Ingekuwa jamaaa anatafsiri mamuvi yao kwa lugha nyingine kweli ,sasa muvi wacheze wengine halafu wao waje kukasirika hii inaingia akilini kweli?
Hapo wenye haki ni hao ni wenye muvi zao kama vile wahindi ,wazungu wakorea nk na sio hao vikaragosi vya bongo muvi.
Hawana mandate ya kufanya hivyo wanataka walipe kodi ili bei ya CD za nje ipande kama yaoHawa ninachokiano lengo ya movement yao
ni kutaka kuzuia filamu za nje.
Kwani watanzania wote ni wapinzani wa ccmHao wacha wapigike na bado wataendelea kupigika hadi akili itakavyowarudia maana na laana za watanzania kwa jinsi walivyoegemea ccm kipindi cha uchaguzi
Wengine hawaamishiMimi nikikuta huo upuuzi wa bongo nahamisha channel
Waache njaa wanashindwa kufanya kazi nzuri zenye ubunifu wanahangaika na watu wanaotafuta ridhiki mara walalamikie wamachinga. BONGO MOVE NA BADO MPAKA MPATE AKILI .....USAWA HU HABEBWI MTU hakuna cha mutoto ya ng'ombe wala ndamaAkiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Haujakatazwa kuangaliaInabidi waense mahakamani internet zizimwe tuaiweze kudownload movie zingine
KwakoKuangalia huu ujinga ni kuyanyima haki macho
Wana kibaliMbona kuna tamthiliya za kichina zimetafsiwa na kurushwa TBC nao mtawashitaki? Mbona wao huwa wanatafsiri tsmthiliya za kwa lugha ya kiingereza