Ktk moja ya interviews irene Uwoya aliulizwa
"Kwann kuna kipinDi hapa katikati Bongo movies km mlisimama hv ktk utoaji wa Filamu zenu??
Uwoya; Kuna s' bu nyingi, ila kubwa ni kwmb kulikuwepo na hali ya Hofu kwa Wasanii wengi wa tasnia ya uigizaji kutokana ba kuwepo kwa Vifo vya Ghafla,.Na imechangia Sana ukimya huo"..
Me nikabk najIsemea,CreDits zngne wanazopewa ZINAWAJAza vichwa tu, Karne ya 21 Bdo unafanya vtu ambvyo ht mtoto wa miaka 6/7 anaelewa mwisho wa movie utakuajE...
ubunifu-Bashite
Kujituma-Bashite
Uhalisia-Bashite
ShiDa sana Aseeh