ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,417
- 9,604
Ttzo anayewaahauri nae ni Zero brain.Hahaa aisee ni kichekesho cha mwaka. Bongo movie wamejiharibia wenyewe hasa baada ya kuikurupukia insta kwa pupa,wana majibu ya dharau sana mitandaoni,nyodo nyingi,kujionesha wana hela sana bila kusahau movie zao chini ya kiwango wakwendree tu.
Zero on paper translates zero on speaking, thinking, etc.