Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

Hivi kuna mtu mzima anaweza kuangalia huo up....zi unaoitwa BONGO MOVIES? Wanatafuta wa kumlaumu tu. Wakae chini wajipange ila siwezi kupoteza muda wangu kungalia hayo maigizo yao artificial!!! Bora wacheze kiduku na kuvaa sare za nyinyiemu ndo watapata mkate wao wa kila siku tu!!!!
Bongo muvi wanangalia mabeki tatu

Haiwezekani mimi engineer mzima nikakaa chini naangalia upuuzi wa bongo muvi.
 
Kwani hizi tamthilia ITV,STAR TV NA CHANNEL TEN NA KWENYE STARTIME zenyewe zikoje zinafuata sheria au tatizo wamekariri kuwa tako kubwa nalo ni sehemu ya kuigiza.

Mwaka huu na inayokuja watachonga sana viazi.
 
Waache upumbavu mbona wakati kanumba yupo mark alikuwepo na bado muvi za bongo ziliuza.
 
Akiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.

Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".

Bongo movies wameamua.
Na wao wafute subtitles ktk maigizo yao maana km mtu kutafsri ni kuua soko na wao washtakiwe kwa kingereza kibovu..jipimeni mctfte mchawi nani
 
hahahaha kweli mbaazi ukikauka usingizia jua................Leo ndio mmemuona huyo jamaa mbona Marehem Rufufu alianza kitambo hamkumshtaki au kwa kuwa kipindi hicho biashara ilikuwa inawalipa? Hapo toeni vitu vya uhakika ndo suluhisho la kudumu
 
Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu
6a5253fc4b1a254e6890064148e33f55.jpg
Ha ha ha ha hatari
 
Wajaribu kutoa movie zenye cd moja tu.. Waachane na mpango wao wa 1&2 inaweza kurudisha morali ya watazamaji wao....
 
Huwa najiuliza hivi bongo movie nani kati yao hata anasifa za kusimama ktk media na kulia lia?

upuuzi wa kiwango cha lami unapotaka kumshtaki mtu nawakati ww siyo mmiliki

Mlela na wenzie ni wapuuzi wasiokuwa na akili hata kidogo ujinga ujinga tu ndo unaowasumbua na kukomaa kabla ya wakati

wapuuzi mno! tena vihiyo vya hali ya juu mno!
 
Back
Top Bottom