TRAAnalipa kodi wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRAAnalipa kodi wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una udugu naye nini ?Yeye anakudharau zaidi
Bongo muvi wanangalia mabeki tatuHivi kuna mtu mzima anaweza kuangalia huo up....zi unaoitwa BONGO MOVIES? Wanatafuta wa kumlaumu tu. Wakae chini wajipange ila siwezi kupoteza muda wangu kungalia hayo maigizo yao artificial!!! Bora wacheze kiduku na kuvaa sare za nyinyiemu ndo watapata mkate wao wa kila siku tu!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora na wewe umeliona hili .Wanamshtaki kwani wametafsiri movie zao? Hebu hiyo kesi ifike mahakama tuone. Bogus sana hawa watu!
Achana na hayo mambo arawa... NANI ANUNUE UCHAFU????Hawana mandate ya kufanya hivyo wanataka walipe kodi ili bei ya CD za nje ipande kama yao
Point umeongea mkuuWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mlela ndio kidude gani
Na wao wafute subtitles ktk maigizo yao maana km mtu kutafsri ni kuua soko na wao washtakiwe kwa kingereza kibovu..jipimeni mctfte mchawi naniAkiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Hawa wenyewe si wanaigaga mikato ya mbele haki walai bongo movie kaondoka nayo s.kanumba kwa kweli R.I.P
Ha ha ha ha hatariAta wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
Kumbe Na ww ni msanii wa bongo movie[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wengine hawaamishi
Hujui unatetea ninKujipanga ni pamoja na kuwa na soko la haki
Na tutaendelea kuwachapaHII NDIO SIRI KUBWA YA WATANZANIA KUCHUKIA BONGO MOVIE... mengine yote ni madogo madogo..