Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tuendelee kuwapa somoHivi wana akili timamu hawa?
Haya Malalamiko wayapeleķe ofisi za CCM kwasababu ndipo nyoyo zao zilipo
SISI INATUHUSU NINI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kuwapa somoHivi wana akili timamu hawa?
Haya Malalamiko wayapeleķe ofisi za CCM kwasababu ndipo nyoyo zao zilipo
SISI INATUHUSU NINI?
Daah kweli kamanda.huwa nachukia sana kuwekewa hayo makitu kwenye safari ndefu.yanaboa kupitilizaWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
Jamani waelezeni ukweli hawa bongo movie.Wajaribu kutoa movie zenye cd moja tu.. Waachane na mpango wao wa 1&2 inaweza kurudisha morali ya watazamaji wao....
Bwege tuYusuph Mlela
View attachment 503825
Sister Maryam, hupewa nafasi wale wenye kutambua makosa yao na kuomba radhi.Wapeni Nafac watafanya vzuri tuwape moyo jamani
Kwani kuna tatizo?Kumbe Na ww ni msanii wa bongo movie[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Unajua nini nisichokijua?Hujui unatetea nin
BadoJamani waelezeni ukweli hawa bongo movie.
"BONGO MOVIE EEEH, TAFUTENI KAZI NYINGINE, HIYO YA FILAMU IMEBUMA"..
Bongo movie ilikufa nayo Kanumba hao wengine ni matapeli wa lumumba tuLabda kama katafsiri za kwao Bongo movie Sawa, lakini kama siyo zao wanapoteza muda
KivipiSister Maryam, hupewa nafasi wale wenye kutambua makosa yao na kuomba radhi.
Hawa hawastahili kwani wanajiona wana haki na ujuaji mwiiingi, wakati ni kinyume chake.
Unawezaje kuwapa nafasi watu wa namna hii...
Aliact peke yake movie nzima?Hawawezi hata kufikiria ni kwa nini marehemu Steven Kanumba alifanikiwa kwa kiasi kuliteka soko la bongo movie ili wafuate nyayo zake.
R I P The Great
KawashtakiHawa majamaa ni sifuri kabisa yaani, mbona wao zinatafsiriwa kwa kiingereza kibovu atawashtaki nani, naomba na wajuzi wa mambo vp ipo sheria inayowapa kiburi hawa wapaka poda
Sio woteNa hiv ndio wanazid kutupa hasira wananchi hatuzitak hizo movie zao na hatutaziangalia