IMEKULA KWAO...Hao mabongo movie ni waganga njaa tu wanashindwa kufanya kazi ikaonekana wanaanza majungu ya kilumumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IMEKULA KWAO...Hao mabongo movie ni waganga njaa tu wanashindwa kufanya kazi ikaonekana wanaanza majungu ya kilumumba
Wakaaanze kucheza ngoma pale lumumba kuwafurahisha vigogo wa chamaJamani waelezeni ukweli hawa bongo movie.
"BONGO MOVIE EEEH, TAFUTENI KAZI NYINGINE, HIYO YA FILAMU IMEBUMA"..
Umeongea point sana mkuuMuhogo Mchungu ndio Mkali wao mwny kujua kuigiza hapa Bongo na kuvaa uhusika kwa asilimia zote
Walitusaliti kwenye uchaguzi wa 2015 na sasa wanalipaWapeni Nafac watafanya vzuri tuwape moyo jamani
Anajiropokea tu huyo jamaa hajielewi kabisa yani.Hujui unatetea nin
Kamuone Psychiatrist atakupa maelekezo.Kivipi
Sawa subirini.Bado
sio lazima utakachokipenda wewe na watz wote wakipendeCfieni vyakwenu tuache ushabiki jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani waelezeni ukweli hawa bongo movie.
"BONGO MOVIE EEEH, TAFUTENI KAZI NYINGINE, HIYO YA FILAMU IMEBUMA"..
HATUTAKIWapeni Nafac watafanya vzuri tuwape moyo jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bwege tu
Wakati mr X huwa anasema hapangiwi na sisi pia hatutaki kupangiwa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.Waaache usenge bhana wasituharibie starehe zetu aisee,sasa wanatupangia na pesa zetu au?
Bashite kawaambukiza ujingakwani ni kosa mtu akikuomba umtafsirie kazi yake embu watuondokee walikubali kubebwa na akili za bashite watajutraaa
we boya una chuki sana na bongo movieNjaa inawapeleka puta
Anazo ndo maana nikakwambia nenden ofini kwake ukachekKodi ni lazima awe na sticker za tra kama hana hizo atakuwa analipa kodi ya biashara ya CD tu.