Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
Mkuu sema bongo movie wanataka wamkomoe DJ Murphy sasa wao kwa mfanohata wasipolipa kodi kwa ubunifu huu nani atahangaika nao?Walipe kodi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sema bongo movie wanataka wamkomoe DJ Murphy sasa wao kwa mfanohata wasipolipa kodi kwa ubunifu huu nani atahangaika nao?Walipe kodi tu
Nilishangaa huyo dj mark sijawahi kumsikia hataDj Murphy sio dj mark
Sijawahi msikia huyo mark. Namfahamu murphy ndio anatasiri sana movies hao wengine fuata mkiaKwan huyo mark sio Dj,na ndio Dj anaefahamika kuliko huyo murphy
Taja jina la movie moja tu aliyotafsiriKujua wa wapi wala haitakusaidia maana ww ni mchanga kwenywe hii tasnia ya..........
Siyo bongo muvi tu na wewe piawe boya una chuki sana na bongo movie
Hawajapata kibali halali wanachakachua kupitia vibali vya kuuza accessories/ stationeries halafu wanatumia kuBurn movies kitu ambacho TRA hawakubali ndio maana kila mara wanakimbizwa na tra. Kupata kibali cha kuuza movie ya mtu ni mpaka movie ifikishe miaka 50.Dj murphy analipa kodi na anatambulka hata ukifanya vigisu vigisu za movie zake anakushtak so tutaona mwisho wake
Waambie waanza na yule aliye tafasiri move ya yesu kwanzaAkiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Kwanza walipe kodi mambo ya ubunifu yanaendelea kufanyiwa kazi huwezi kuwa mbunifu wakati hupati pesa za kutosha yaani wengine wanawin soko peke yao.Mkuu sema bongo movie wanataka wamkomoe DJ Murphy sasa wao kwa mfanohata wasipolipa kodi kwa ubunifu huu nani atahangaika nao?
Sticker haziwekwi ofisini sticker zinabandikwa kwenye movie zinaonekana wazi kabisa kwa kila anayenunua sijawahi kuona hizo sticker kwenye CD zote za nje Bali kila CD ya kibongo lazima kuna stickerAnazo ndo maana nikakwambia nenden ofini kwake ukachek
Wewe na nani?sio lazima utakachokipenda wewe na watz wote wakipende
Hujalazimishwa mkuu wewe wasapoti tu ila kwa sisi hatuna habari na kazi zao
Tunachozungumzia sisi ni wao kulipa kodi TRA kwa biashara wanayofanya so ukienda kwa ofisi utakuta wamebandika lessen na TIN noSticker haziwekwi ofisini sticker zinabandikwa kwenye movie zinaonekana wazi kabisa kwa kila anayenunua sijawahi kuona hizo sticker kwenye CD zote za nje Bali kila CD ya kibongo lazima kuna sticker
Kwa sab nyingi hamsemi na wao wasiseme? Ukimuona mtu anaiba bila kukamatwa nawe ukaibe ukikamatwa useme mbona mwingine hajakamatwa ili uachiwe?Mbona hata wao zao zimetafsiriwa tena kwa broken English watu hawasemi
Eng HassanWewe na nani?