Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tumeamua kususia kazi zao kwani ni wana ccmKujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeamua kususia kazi zao kwani ni wana ccmKujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
Yaani chaka haswaaKawaingiza chaka
Ushamaliza kuchemsha upupu?Wengine hawaamishi
Kachimbe njerembaHaujakatazwa kuangalia
Sio woteTumeamua kususia kazi zao kwani ni wana ccm
Haki tu sio swala la mchawiWanamtafuta mchawi wakati mchawi ni wao wenyewe
Ray anatoa Movie mbili yenye part 1 & 2 kila wiki
Kwahiyo mwezi mmoja anatoa Movie 8
Sijui hata budget yake ikoje [emoji23]
Na Zuku mkuuWawashitaki Azam Tv
kwan kodi wanalipa kanisani au tuulize sisi wakazi wa pasua ndo tunamjua vizur arifuAnalipa kodi wapi?
Walipe kodi tuhawa wanatakq usawa gani shenzi kabisa yusuph Mlela anaweza cheza scene ikahit kama ji chang-wok au wanachanganyikiwa mbuzi hizi zirudi ndani bashite kapandikiz ujinga..alaf hawajui hata wakisipo tafairi kina DJ Murphy matukio tutayafuatilia kuliko mwanzo wanawashwa pyumbu
Wengine walipe kodi piaSasa wanahangaika nini?i mean mnahangaika nini bongo movie
Du kweli! InakerrrraWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni mateso yasiyo na kikomoWawafungulie mashitaka na wenye ma-bus hasa ya safari ndefu kwa kuonyesha bongo movie bila ridhaa yao,watusaidie maana kuangalia ushuzi wa Bongo movie kutoka Dar–Mwanza ni zaidi ya kero nishagombana sana na makondakta.
HATUNUNUI NG'OO ... TUNATA ZA NJE ..Akiongea kwenye E-News ya East Africa Yusuph Mlela amesema Bongo Movies wameanza taratibu za kumshitaki jamaa maarufu anaetafsiri movies za nje maarufu kama Dj Mark na wengine wote wanaotafsiri movies za nje na kuwaharibia soko la Bongo Movies.
Mlela, "Tumeanza taratibu za kumshtaki jamaa sisi tunataka movies za nje zifuate taratibu kama sisi tunavyofuata ili kuwe sawa".
Bongo movies wameamua.
Yaani mkuu hawa bongo movie wanakera kupitiliza. Wamiliki wa filamu zinazotafsiriwa wamekaa kimya ila wao sijajua wataanzia wapi kuhusu hiyo kesi? Kimsingi elimu hakuna huko kwenye hiyo industry wala committment ya kufanya kazi kwa ubunifu.Kwani akina Mlela wanapoweka maneno ya kiingereza, yayotafasili kiswahili kilichotumika kwenye movie zao huwa wanataka nini ?
Waache ujinga,anayetakiwa kumshitaki huyo DJ ni Wamiliki wa hizo movie zinazotafasiliwa siyo akina Mlela na wenzake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo madhara ya kushauriwa na Bashite