Unaenda kwenye Bureau unakuta mwenzio anauziwa dollar vizuri ila ikifika zamu yako unaambiwa stock imeisha inabidi uwe humble tu maana hii Tanzania Kila kitu ukichukulia personal basi options ni mbili kuzeeka mapema au kufa mapema.
Unaenda kwenye Bureau unakuta mwenzio anauziwa dollar vizuri ila ikifika zamu yako unaambiwa stock imeisha inabidi uwe humble tu maana hii TZ Kila kitu ukichukulia personal basi options ni mbili kuzeeka mapema au kufa mapema.
Sijajua kama ni utaratibu au vipi, kuna mtu anafanya bereau huko arusha aliniambia wao kwa sasa wanapokea dollar na kutoa tshs hawauzi dollar kabisa.
Nikawaza labda wanazikusanya halafu zinaenda uzwa black market penye rate ya juu zaidi.
Sijajua kama ni utaratibu au vipi, kuna mtu anafanya bereau huko arusha aliniambia wao kwa sasa wanapokea dollar na kutoa tshs hawauzi dollar kabisa.
Nikawaza labda wanazikusanya halafu zinaenda uzwa black market penye rate ya juu zaidi.
Sijajua kama ni utaratibu au vipi, kuna mtu anafanya bereau huko arusha aliniambia wao kwa sasa wanapokea dollar na kutoa tshs hawauzi dollar kabisa.
Nikawaza labda wanazikusanya halafu zinaenda uzwa black market penye rate ya juu zaidi.