Halafu ni waziri, mtanyooka sana nyie watu, mumekua mdebwedo siku nyingi na kupenda kulialia....hehehe watawala wenu wamedhamiria mtafundishwa kwa mboko.
Mi nasema adhabu ya viboko ni bora kuliko jera: viboko vinapoa baada ya masaa, ila jela ni miaka bila familia, mke, rafiki, na chini ya mazingira magumu.
Huwa nashangaa pale mashirika ya haki za binadamu yanapokemea viboko wakati yakaa kimya nchi za marekani zikitoa sentensi ya miaka thelathini kisa mtu anabeba bangi.
Halafu ni waziri, mtanyooka sana nyie watu, mumekua mdebwedo siku nyingi na kupenda kulialia....hehehe watawala wenu wamedhamiria mtafundishwa kwa mboko.
Halafu ni waziri, mtanyooka sana nyie watu, mumekua mdebwedo siku nyingi na kupenda kulialia....hehehe watawala wenu wamedhamiria mtafundishwa kwa mboko.
Hii tabia ya viongozi kuchapa watu viboko wao wenyewe Wakati kuna utaratibu na kuna surbodinates wanaweza kutoa adhabu mm binafsi siipendi,ni ushamba flani Hivi na kutaka kujionnesha kwamba wanafanya kazi
Mbona Mchina hutembeza Kungfu sana Bongo, jameni hivi mbona huwa mpo legelege....
Halafu kwenye hiyo video nimeona mnachapwa na mwanamke, yaani wanaume mijitu mnalazwa na kutembezwa mboko na mwanamke.
Mchina juzi alifukuzwa Kenya kwa kosa la kuwatukana Wakenya, huku JF hakukukalika kwa jinsi Watanzania walichekea tukio hilo. Lakini cha kushangaza wao kama ilivyo kawaida huwa hawajiangalii, tusi la kibaguzi dhidi ya Mkenya mweusi linawahusu pia, yaani kuwa na akili ndogo ni laana. Sasa...
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
www.ippmedia.com
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
Mbona Mchina hutembeza Kungfu sana Bongo, jameni hivi mbona huwa mpo legelege....
Halafu kwenye hiyo video nimeona mnachapwa na mwanamke, yaani wanaume mijitu mnalazwa na kutembezwa mboko na mwanamke.
Mchina juzi alifukuzwa Kenya kwa kosa la kuwatukana Wakenya, huku JF hakukukalika kwa jinsi Watanzania walichekea tukio hilo. Lakini cha kushangaza wao kama ilivyo kawaida huwa hawajiangalii, tusi la kibaguzi dhidi ya Mkenya mweusi linawahusu pia, yaani kuwa na akili ndogo ni laana. Sasa...
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
www.ippmedia.com
Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
Halafu ni waziri, mtanyooka sana nyie watu, mumekua mdebwedo siku nyingi na kupenda kulialia....hehehe watawala wenu wamedhamiria mtafundishwa kwa mboko.
Nyie mbona mnachapwa sana kungfu na hao Wachina, mnatia huruma sana kwa mlivyo legelege mnapigwa na viongozi wenu, mnapigwa na wageni, ila mpigwe tu hadi akili.
Soma hapa uone mnavyotembezwa kungfu
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.
Juzi waziri wa elimu nchini Kenya Profesa Magoha aliponea chupuchupu kupigwa kalamu kwasababu ya kumdhalisha mdogo wake(Director wa Elimu, Gatuzi la Uasin Gishu) kwa matusi tu na maneno makali. Najaribu kuwaza ingekuwaje kama angedhubutu kutumia kiboko au fujo kama huyo waziri nchini Tz. Hawa majirani zetu hawajielewi kabisa. Wataishia tu kwenye domodomo za uoga uoga mitandaoni ila hawawezi wakaonesha hamaki zao wazi wazi kwa vitendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.