Bongo mwendo wa viboko tu, panazidi kunoga, huyu naye mwingine

Bongo mwendo wa viboko tu, panazidi kunoga, huyu naye mwingine

Ukishindwa kuchapa kazi chapa walau viboko Mzee akuone hucheki cheki na Kima
 
Juzi waziri wa elimu nchini Kenya Profesa Magoha aliponea chupuchupu kupigwa kalamu kwasababu ya kumdhalisha mdogo wake(Director wa Elimu Gatuzi la Uasin Gishu) kwa matusi tu na maneno makali. Najaribu kuwaza ingekuwaje kama angedhubutu kutumia kiboko au fujo kama huyo waziri nchini Tz. Hawa majirani zetu hawajielewi kabisa. Wataishia tu kwenye domo domo za uoga uoga mitandaoni ila hawawezi kuonesha hamaki zao wazi wazi kwa vitendo .
Awamuu ya tano
vichaa za ccm is amazing
 
Hahahahaa....

Mijitu hovyo sana hii...

Mchina mtu mbaya sana na hizo kungfu huwapa, na niliskia mnamuita eti ndugu wenu wa damu hata mumerudi kwake aje ajenge SGR iliyobuma.
 
hahah aiseee...jiwe akiona ivo anafurahiiii!!!😂😂mimi nasema wapigwe tuu!
 
Back
Top Bottom