NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
Nimekuwa naangalia hiki kipindi cha Bongo Star Search karibuni ila Kauli chafu na maneno wanayowapa hawa vijana sio sawa kabisa.
Sijajua kama hizi lugha zingeeleweka huko mbele kwa nchi za wenzetu katika ulimwengu uliostarabika.
Nimeangalia vipindi vingi sana kama hivi mfano American Idol , The Voice na America's Got Talent ila sijawahi kuona kauli chafu za majaji.
Mfano Judge Salama ni jaji anayeongoza kwa kauli chafu na zinazowanyima kujiamini hawa vijana. Master Jay naye ni kinara wa lugha chafu zisizo na staha.
Sijui kama TCRA na BASATA wanafuatilia hiki kipindi vizuri au ndo yale yale ya bora liende.
Nawasihi BASATA an TCRA wawaambie hawa watu wenye hii program wasiwafanye hawa vijana kama vile ni watumwa katika nchi yao. Wanafanywa kama vikatuni .
Sijajua kama hizi lugha zingeeleweka huko mbele kwa nchi za wenzetu katika ulimwengu uliostarabika.
Nimeangalia vipindi vingi sana kama hivi mfano American Idol , The Voice na America's Got Talent ila sijawahi kuona kauli chafu za majaji.
Mfano Judge Salama ni jaji anayeongoza kwa kauli chafu na zinazowanyima kujiamini hawa vijana. Master Jay naye ni kinara wa lugha chafu zisizo na staha.
Sijui kama TCRA na BASATA wanafuatilia hiki kipindi vizuri au ndo yale yale ya bora liende.
Nawasihi BASATA an TCRA wawaambie hawa watu wenye hii program wasiwafanye hawa vijana kama vile ni watumwa katika nchi yao. Wanafanywa kama vikatuni .