Hayo Ni matokeo ya matumizi ya muda mrefu wa weed,wengi wao huwa na elements za ubabe na misimamo flani hv kw picha ya ukali,mfn Jide,Kistuli,c.ndosi,FeE nkHuyo Salama anatumia lugha mbaya na maneno ya ovyo mno! Ni kama hajakua, ni sawa na mtu ambaye hana exposure, anaropoka, anapanic halafu ana kaubabe flani ka kishambaaaaaa
Kwa kweli hili jambo lishughulikiwe. RIP Bategereza alikuwa activi wa sasa hivi wakla hata simjui angelifuatilia hivi. Kuwa mnyoinge si mwanzo wa kunyayasa watu, Big up Omy Dimples kuna binti alidhihakiwa akamuuliza anafanya nini akasema biashara ndogondogo. Akamuita na kumpa pesa akasema anamuongezea mtaji. Hili halikubaliki!Nimekuwa naangalia hiki kipindi cha Bongo Star Search karibuni ila Kauli chafu na maneno wanayowapa hawa vijana sio sawa kabisa.
Sijajua kama hizi lugha zingeeleweka huko mbele kwa nchi za wenzetu katika ulimwengu uliostarabika.
Nimeangalia vipindi vingi sana kama hivi mfano American Idol , The Voice na America's Got Talent ila sijawahi kuona kauli chafu za majaji.
Mfano Judge Salama ni jaji anayeongoza kwa kauli chafu na zinazowanyima kujiamini hawa vijana. Master Jay naye ni kinara wa lugha chafu zisizo na staha.
Sijui kama TCRA na BASATA wanafuatilia hiki kipindi vizuri au ndo yale yale ya bora liende.
Nawasihi BASATA an TCRA wawaambie hawa watu wenye hii program wasiwafanye hawa vijana kama vile ni watumwa katika nchi yao. Wanafanywa kama vikatuni .
Yaani we mwenyewe hapo hujitambui!Kwani ni ajabu mtu kutokujitambua? I mean, hujui unaweza kuwa hujui lakini hujui kwamba hujui? Ni wengi wadhani wao ni werevu kumbe sivyo!
Kumbe bado wanaendelea na zile lugha zao chafu!??Nimekuwa naangalia hiki kipindi cha Bongo Star Search karibuni ila Kauli chafu na maneno wanayowapa hawa vijana sio sawa kabisa.
Sijajua kama hizi lugha zingeeleweka huko mbele kwa nchi za wenzetu katika ulimwengu uliostarabika.
Nimeangalia vipindi vingi sana kama hivi mfano American Idol , The Voice na America's Got Talent ila sijawahi kuona kauli chafu za majaji.
Mfano Judge Salama ni jaji anayeongoza kwa kauli chafu na zinazowanyima kujiamini hawa vijana. Master Jay naye ni kinara wa lugha chafu zisizo na staha.
Sijui kama TCRA na BASATA wanafuatilia hiki kipindi vizuri au ndo yale yale ya bora liende.
Nawasihi BASATA an TCRA wawaambie hawa watu wenye hii program wasiwafanye hawa vijana kama vile ni watumwa katika nchi yao. Wanafanywa kama vikatuni .
Tatizo ni mtajiNao waache kwenda kwenye shidano kwani Diamond na Alikiba si wametoka bila huo ujinga
“I am patient with stupidity but not with those who are proud of it.” - Edith Sitwell.Yaani we mwenyewe hapo hujitambui!
Kidogo Kala Jeremiah anaonekana kwenye platforms mbali mbaliTuseme ukweli kuwa BSS bado haijaleta matunda kwa tasnia ya Muziki Tanzania, wasanii wao wanaotokaga katika mashindano hayo huishia kwa kuonekana tu msimu wa BSS baada ya hapo hupotelee juu mawinguni.
NI WASENGE TU....HAKUNA KINGINE ....
NI WASAKATONGE TU ...MAV YA PUNDA....
NI MAFL FL ...
NB, ule ni upuuzi Kama upuuz mwingine ...f*k
Sanaaa sidhani wangefurahi kama ndio ndugu zao ama wadogo zao wangekuwa wanafanyiwa vilee . So childish wanavyofanya na wote ni watu wazima.Lile shindano linawadhalilisha watoto wa watu. Wazazi wajitahidi kuwatafutia fursa nyingine vijana wao sio kila kijana atakuwa mwanamuziki. Utu ni muhimu zaidi kuliko mambo ya udhalili wanayopitia.
Wadogo zangu wote wapo serikali kuu wanakula mishahara.Au dogo amepigwa chini nini?
Tusitake kukosea kwa sababu wengine wanakosea.Vipi kuhusu American Idol , The Voice na America's Got Talent ina matunda gani huko nchini mwao,tuweke kumbukumbu vzr.
Naomba vielelezo viletwe mezani mheshimiwa.