Bongo Star Search Wapewa mwezi mmoja kumlipa mshindi wa BSS 2019


Unamnyonya msanii ambaye hajatoka wala hajulikani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko nyuma waliongea watu mengi mshindi anatengenezwa na akishinda anapewa kiasi fulani.

Baada ya watukadhaa kufatilia na kupatikana mshindi halali ambae majaji walijiridhisha ingawa sio wote.

Sasa pesa imegoma kutolewa

Madam Ritta hii kitu achana nayo dada aibu hii dhana ya Magu dk haki ya mtu haichukui miezi sita wala mwaka ona sasa serikali inakuamuru kulipa mshindi halali hii ni aibu.

Msipojiandaa msifanye sio lazima mbona pesa zenu mnajilipa on time.

Poor BSS

Naomba serikali kuangalia mara mbili ikiezekana mashindano kama haya yasio na uhakika wa mshindi kupewa zawadi zake muyafutilie mbali kabisa
 
 

Attachments

  • IMG-20200409-WA0017.jpg
    112.3 KB · Views: 3
Kuna sehemu nimetaja hicho chama? Mbona unakua punguani hivi?
Kila mtu ana uhuru wa kuwa chama anachokipenda au kutokuwa na chama kabisa so usimpangie mtu chaguo lake Kama wewe usivyopangiwa na mtu yoyote.
 
duuu huyu dada hata kipindi chake kule tbc anatafuta wazamini
watamuua na preshaa
 
Huu ni uhuni kama vipi serikali ihakikishe dogo anapewe hela yake,ikishindikana BSS ifutwe.

Ila Madam Rita kampuni yake ya Benchmark nayo inatembelea rim,lile deni lake na TRA sijui wameshamalizana.


Mze Mengi kishakufa, huyu mdada sasa anahaha tu ule wizi waliokuwa wanafanya baadhi ya viongozi enzi za Kikwete sasa ni kama hakuna, so kupata mtu wa kumuweka mjini ili naye aonekane ni shida. Mwacheni abwie unga na kuvuta bangi tu, ujanja una mwisho wake.
 
HII ITAKUWA FUNDISHO
IKOHIVI
WALE MADOGO KABLA YA KUTANGAZWA WANAPEWA MASHART UKISHINDA 30 M YA PROMO 20 YAKO
WAJINGA WANAKUBALI HUYU KAWAINGIZA CHAKA KAKUBALI KASHINDA ANATAKA CHAKE MAZIMAA

IWE FUNDISHOO NA MH MWAKYEMBE HAWAWAANDAJI WAITWE WAELEZE KWA MAANDISHI MSHINDI SH NGAPI MASHINDANO YAJAYO ELSENAMTOWAONANTENA WAKIRUDIA HAYA MASHINDANO

AIBU SANA
 
duuu huyu dada hata kipindi chake kule tbc anatafuta wazamini
watamuua na preshaa
Shidaaamojaaa akubalii KWENDA namabadiliko ya MAISHA a a naonaa akiwaa kimyaa watamwonaa kachoka boss nn BANA a kha
 
Kila mtu ana uhuru wa kuwa chama anachokipenda au kutokuwa na chama kabisa so usimpangie mtu chaguo lake Kama wewe usivyopangiwa na mtu yoyote.
Hebu acha kudhihirisha upunguani wako wewe, unadandia mada usiyoijua vyema. Hizo smartphones zenu mlizonunuliwa mliellekezwa kutetea tu, hata kama ni utumbo?
Huyo kada wa ccm kila siku nikusifia tu, sasa imekuaje anailaumu Serikali yake kwa usanii wakati ni dhahili kabisa tuna Serikali ya Wababaishaji tu?
 
Hapo ndio ajue si kila mtu anataka hela zilizoandikwa kwenye makaratasi kama geresha kwa watu ili wajue kweli yanafanyika.

Madam ajipinde tu atowe mana hapo disco lishaingia mmasai.


Kama hatojiua sijuwi, na huko aliko nasikia anapuliza bangi na kubwia unga shinda awali. Wabongo wanapenda sana kuishi maisha ya kimagumashi, sijuwi wanaona faida gani?
 
Kama anaisifia CCM wewe inakuuma Nini?mbona Kuna wengine hata serikali ifanye Jambo gani zuri lazima waponde mbona ujawatolea mapovu? Na kwenye hii issue kosa la serikali ni lipi?
 
Kweli kabisa, umenikumbusha kuna ka mamz kangu kamoja baada ya kuona koki ya hela nimemfungia akapata boya mwengine ambaye anatuma hela kila anapopigwa mzinga. Dharau zikawa nyingi sikujua kumbe ndio kashapata huyo fala. Huyo jamaa anafanya business ya madini ana hela ila mshamba wa chupi.

Kuja kusanuka nikamchukua maelezo mtoto ni kuwa huyo jamaa alikuwaga anamtaka long time toka enzi yuko mmbichi ila hakuwahi mpenda ila sahivi kamfungulia njia kwa sababu hali ya life ni tete na yeye anakiri anapenda hela sana. Kashachoka anataka aolewe zake na mwanaume wa kumhudumia kila akiwa na shida nikamwambia no sweat, mi kwakuwa na akili timamu siwezi kwama, najua ntapiga K nikitaka ila majukumu mengine atasimamia huyo Boya. Kwangu ikawa nafuu maana nshatoboka sana ila ule mziki nikagundua ni CD700 sitauweza.

Sasa demu anawaza kuja kuwa mwanamke flani hivi kama icon kwa mbeleko maana anapenda maisha ya juu hela hana. Mbaya zaidi akili ya mawazo ya kujenga pia hana. Yuko much on dependance yeye alie shida apewege tu hela ajaze vitu ndani kwake na kuvaa sana bila kusahau kodi ikiisha alipiwe.

Sasa imagine jamaa akioa huyu demu kitakachotokea ni kwamba demu anaweza akapewa life kiuhakika maisha ya kuendesha Rav 4 au Xtrail sio haba. Mbwembwe atakazokuwa nazo ila ukichunguza deep down ni msela kamenyeka ila watu watamuona super woman.🀣🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…