Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
What a Shame!
Alipe deni na shindano lifungiwe
The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Alipe deni na shindano lifungiwe
The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mengi kaondoka na MengiMhh Madam Rita uhuni huu kaanza lini au ndio tuyaamini maneno ya Nay wa Mitego.
Walivyokuwa wezi wanasema katika hiyo 50m, watakupa 20m alafu 30m watakufanyia promotion hiv hiyo promotion gani ya 30m? Na msanii yupi wa bss uliona anafanyiwa promotion shindano likiisha? Hiv Hawa sijui wanatuona sisi mbulula?Dah, dogo alipiga show akiwa ametoka kuwekewa drip hospitali, akakamua kweli kweli kumne hakulamba chochote!
Huwa najiona nina roho mbaya kumbe roho yangu sio chafu sana na nikikazana kidogo naweza enda mbinguni.
Unamdhulumuje mtu 50M kirahisi hivyo?
Akina Master j wanajimwambafy tu kumbe pesa hamnamo, walipe.
Wewe unazungumzia mtu si serikaliSerikali hii iliyowahi 'kupiga' hadi rambirambi? Acha masikhara mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata me nashangaa promotion gani million 30? Me tokea nione haya mashindano sijawahi Kuna msanii baada ya kuisha shindano anafanyiwa promotion hata tu kurecodiwa na producer mkubwa sijaona.Huu mkataba unamnyonya msanii,yaani anaambulia mil 20 cash na mil 30 ahadi hewa eti kupromote kazi yake!!!! Ataishia kurekodiwa studio za hali ya chini au kwa master j ngoma mbovu ndo itakuwa kwa heri,ndo maana wasanii wa bongo star search asilimia 90 wamepotea kusikojulikana!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti malkia wa nguvu [emoji23]Sasa atalipaje na Mengi alishafariki!?
Serikali ingejionheza tu kuwa hawa wanawake wanaojifanyaga wamefanikiwa huwa kuna wanaume wanaosimamia mafanikio yao!!
Mie huwa nashangaa sana hata wale wanaojiita
Malikia wa nguvu kumbe nguvu nyingi huwa ziko viunoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
alafu walivyo wezi eti million 30 wanamfanyia msanii promotionWhat a Shame!
Alipe deni na shindano lifungiwe
The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Serikali ni Tahasisi
Duh basi ni full utapeli kumbe na hawafaiBest nasikia ni kweli huwa kiwango kinachotangazagwa si kile ambacho wanapewagwa.
Promotion ya 30M bongo! Dah, kuna watu wezi sana asee...Walivyokuwa wezi wanasema katika hiyo 50m, watakupa 20m alafu 30m watakufanyia promotion hiv hiyo promotion gani ya 30m? Na msanii yupi wa bss uliona anafanyiwa promotion shindano likiisha? Hiv Hawa sijui wanatuona sisi mbulula?
Bss Mungu anawaona aiseePromotion ya 30M bongo! Dah, kuna watu wezi sana asee...
Msela apambane apae hata hiyo 20m waliyokubaliana kwenye mkataba.
alafu walivyo wezi wasio na haya wanasema kwenye 50m,Wanampa msanii 20m alafu 30m wanamfanyia promotion Cha kujiuliza promotion gani million 30? Na msanii yupi ambaye amewahi kufanyiwa promotion ya hiyo hela yanapoisha mashindano?sijui wanatuona sisi ni mapoyoyoWalimlipe tu kwakweli, afu next time wasiahidi kutoa zawadi ambayo hawana uwezo nayo siyo wanasingizia Corona, vijana wanafight pamoja na zile comments zao za "umeimba vibayaa", "sauti mbaya" mwishowe hamna kitu isn't fair kabisa
Naye Harmonize alisema atamsign Hamisi kwenye hili shindano la bss lililoisha hiv punde mpaka Leo hajamsaini 🤣Waziri Mwijage pia hakutimiza ahadi yake kwa yule binti mshiriki wa Maisha Plus.
Hii nchi ni ujanja ujanja mwingi mbele ya camera.