Bongo Star Search Wapewa mwezi mmoja kumlipa mshindi wa BSS 2019

Bongo Star Search Wapewa mwezi mmoja kumlipa mshindi wa BSS 2019

Hio pesa haitoi yeye soma maelezo vizuri Star times ambao ni wadhamini wamekwisha toa hio hela means ni imebaki benchmark kumpa mshindi pesa yake kuna ugumu gani hapo?
Waziri amemkosea sana Madam Ritha.Yule ni mtu wa kusaidiwa wapi amekwama na si kumuaibisha kutokana na anachokifanya.
Hicho ni kiwanda kama kilivyo kiwanda kingine kwa kuwa kinazalisha vijana wanaokuja kujitegemea.
Hakuna asiyejua ugumu wa upatikanaji pesa kwa sasa.Maandalizi na uendeshaji wa hilo zoezi linahitaji udhamini ,kwa sasa ni kazi sana kwa kuwa hata timu za mipira na zenyewe zinakwama.
Hiyo kijana atajuta kwa alichofanya,alipaswa kumshukuru madam hata kwa promoshen na eksiposha aliyoipata hiyo tayari ni mtaji.Rejeeni shida aliyoipata DIAMOND kuipata.
Watanzania akili zetu zinasimama wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Usiwaamini hawa wadangaji wa mjini wana jiita superwoman kama Joyce Kiria kutwa mitaandaoni show off kibao hawana lolote wamama wapambanaji wapo mtaani huko hua tuna waona saa kumi alfajiri wapo barabarani wamebeba mizigo wanalea family, wanasomesha watoto
Madam Rita na uzuri wote ina maana amekosa Don wakumuweka mjini? Mzee Machache ndiyo alikua sponsor enzi zile. Kampun yake ipo hoi taabani. Mi najua hawezi kosa don la kumfanya akimbize mjini.

Mamaye ndo wajue sisi wanaume ndiyo kila kitu. Hakuna cha sijui every successful man has woman behind. Ni kinyume chake every successful woman has sponsor behind

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom