Halafu huwa sipendi katika ishu ya diamond MTU amtolee mfano king ,mbona hamsemi kina Mr blue au chege au dully waloanza mziki kabla kiba, halafu huyo diamond mbona hujaweka vyanzo vyake vya mapato Kama ulivoweka kwa masanja au diamond anategemea mziki?! Basi Kama ni hivo tuamini na masanja uchungaj na comedy vinalipa, hela Ina siri kubwa jinsi inavotafutwa nyie kaeni hapo mnashadadia et fulan Ana hela zaidi ya huyu anajituma? ? Ila Mungu ndo anaejua siri ya pesa zao wote, ila kwamm roho yangu inagoma kuamini kwamba hawa watu pesa zao ni za halali, [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] tchaoo