Bongo: Top 3 Celebrities wenye pesa chafu

Bongo: Top 3 Celebrities wenye pesa chafu

Namimi nitazchafua pesa zangu ili ziwe chafu namimi niingie katika orodha hiyo
 
Naamini D akitoa hit song nyingine. hyo na Neyo.. anarudi kwenyr namba 1
 
Wanajitahidi,japo gari sio kipimo cha utajiri,weka vitega uchumi vya kuonekana,kilimo cha mpunga sawa lakini unamwingizia bei gani,kama kaingiza milioni 20 kwenye mpunga wakati hiyo ni show moja tu ya diamond,bado sana.
Mgodi sio mgodi kivile,wale ni wachimbaji wadogo wadogo hawana uhakika wa kutengeza hata m 100 kwa mwezi
 
mbona hujaongelea acount za benk vp kuhusu ushahid wa malipo koz wasanii wanaishu ya kuongeza 000 kwenye pesa....mwisho iyo taarifa umeitoa wap au kichwan mwako namaanisha ushahid/fact zako zimeegemea kuamin kila unachosikia na kuona.
 
Mbona umekomaa kutuaminisha au hii ni sehemu ya kazi yako, weka ushahidi usio na shaka, how come kimwendo kasi namna hii yaani leo photo ndio critical evidence, unapo mprove mtu unatakiwa uwe na ushahidi usio na shaka wa kuthibitisha sio mambo ya amini usiamini, namwamini MUNGU na wazazi wangu pekee.
 
wanasrmaga ukitaka kuongea kitu na watu wakuamini ongea kwa ushahidi na facts za ukweli, nisikuchoshe msomaji wa mada naenda direct kwenye kukujuza celebrities top 3 ya wasanii wenye pesa utitiri bongo

Number 1: Masanja mkandamizaji-
masanja98-jpg.392557

Mgodi wa dhahabu Wa Masanja huko geita:

Najua wengi kwa haraka haraka mlidhani hii namba itakuwa ni ya Diamond lakini La hasha, Masanja ni comedian maarufu Tanzania aliyewekeza kwenye miradi ya mpunga huko mbeya na pia anamiliki mgodi wake wa dhahabu,
Ni watu ambao hawana akili pekee watabeza juhudi za Masanja....Wakati mnapiga kelele mjini yeye yuko porini analima mpunga, wakati mnashinda vijiweni yuko polini anatafuta dhahabu, Wakati mnakula KFC yeye yuko busy anauza wali nyama na sahivi kafungua Burger points, Mwisho wa siku mnapiga kelele sijui unga sijui nini. hii pia imethibitishwa pale ambapo huyu bwana ana bmw x6 model ya kisasa na yenye bei kali kuzidi la mpinzani wake diamond platnumz

Number 2: Diamond platnumz-
diplatz-jpg.392558

Bongo tunamuita simba ila Afrika wanamuita king of pop, Hakuna msanii Bongo anayelipwa pesa nyingi kwa show moja kama Diamond, Kumekuwa na wasanii wenzake kama kina Ali kiba, Christian bela, n.k waliofanya mziki muda mrefu kuzidi yeye lakini kumkuta kimafanikio sio leo, Mafanikio hayaongelewi bali yanaonekana kijana ana nyumba yake nzuri madale na pia amewekeza katika kununua nyumba , pia kwa sasa ana label ya WCB ambayo amini usiamini inamuingizia pesa kila kukicha.

Number 3: Lady jay dee:
lady-jay-de-jpg.392559

Miaka nenda rudi wasanii wenzake wanamkuta na wanamuacha, Kipaji anacho nauzuri wake kinamuingizia pesa za kutosha, ukiachana na muziki pia ni mjasiria mali ambae biashara zake zinamuingizia pesa chafu, Dada anamiliki ndinga matata range rover evoque model ya kisasa ambayo ni ndoto za mchana kwa wasanii wa kawaida

Jide doesnt deserve that position asee ilikuwa zaman ila kwasasa anahela ya kawaida,afu pia MOND anadeserve nafasi ya kwanza >>chanzo>forbes
 
Back
Top Bottom