Bongo: Top 3 Celebrities wenye pesa chafu

Bongo: Top 3 Celebrities wenye pesa chafu

Wewe sio Mimi hadi uniambie niweke kitu gani, ingepndeza utuwekee ushahidi wa cheti chako cha kuzaliwa ili tujue wewe sio Ndege, karibu mjini utajifunza ya kwamba pesa chafu haina maana moja tu kama ulivyo kijiji ulichotokea wajanja wa town walishansoma
[emoji14] hapo juu umeandika unaenda kwa facts!
Sawa kijana wa Darisalama
 
Hahahahaha hivi wewe mtoa mada unajua maana ya pesa chafu? Uliowataja hapo juu wana pesa za kawaida sana. Ww sema ni wasanii wenye maisha mazuri standard sio pesa chafu
 
Hahahahaha hivi wewe mtoa mada unajua maana ya pesa chafu? Uliowataja hapo juu wana pesa za kawaida sana. Ww sema ni wasanii wenye maisha mazuri standard sio pesa chafu
Sure huyu mwandishi anaongea asichokijua. Mtu ana hela za kujikimu anasema anq hela chafu. Wenge huyu mwandishi!!!
 
Nina mashaka na mtoa mada, kama hayupo kiba namba 1 basi bandiko lako ni batili.
 
Kwa kuwa vyombo vya dola vipo na wamo hata humu tusubiri tuone.au kama vp katoe ripoti policd kwan rais keshasema hatavumilia mambo kama haya
 
Ni mgodi au maduara?Maana kama ni kumiliki makarasha basi watu wengi wa usukumani wangekuwa na pesa chafu.Masanja ana mafanikio lakini hili suala la mgodi linahitaji tafakuri.
 
Ni mgodi au maduara?Maana kama ni kumiliki makarasha basi watu wengi wa usukumani wangekuwa na pesa chafu.Masanja ana mafanikio lakini hili suala la mgodi linahitaji tafakuri.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
wanasrmaga ukitaka kuongea kitu na watu wakuamini ongea kwa ushahidi na facts za ukweli, nisikuchoshe msomaji wa mada naenda direct kwenye kukujuza celebrities top 3 ya wasanii wenye pesa utitiri bongo

Number 1: Masanja mkandamizaji-
masanja98-jpg.392557

Mgodi wa dhahabu Wa Masanja huko geita:

Najua wengi kwa haraka haraka mlidhani hii namba itakuwa ni ya Diamond lakini La hasha, Masanja ni comedian maarufu Tanzania aliyewekeza kwenye miradi ya mpunga huko mbeya na pia anamiliki mgodi wake wa dhahabu,
Ni watu ambao hawana akili pekee watabeza juhudi za Masanja....Wakati mnapiga kelele mjini yeye yuko porini analima mpunga, wakati mnashinda vijiweni yuko polini anatafuta dhahabu, Wakati mnakula KFC yeye yuko busy anauza wali nyama na sahivi kafungua Burger points, Mwisho wa siku mnapiga kelele sijui unga sijui nini. hii pia imethibitishwa pale ambapo huyu bwana ana bmw x6 model ya kisasa na yenye bei kali kuzidi la mpinzani wake diamond platnumz

Number 2: Diamond platnumz-
diplatz-jpg.392558

Bongo tunamuita simba ila Afrika wanamuita king of pop, Hakuna msanii Bongo anayelipwa pesa nyingi kwa show moja kama Diamond, Kumekuwa na wasanii wenzake kama kina Ali kiba, Christian bela, n.k waliofanya mziki muda mrefu kuzidi yeye lakini kumkuta kimafanikio sio leo, Mafanikio hayaongelewi bali yanaonekana kijana ana nyumba yake nzuri madale na pia amewekeza katika kununua nyumba , pia kwa sasa ana label ya WCB ambayo amini usiamini inamuingizia pesa kila kukicha.

Number 3: Lady jay dee:
lady-jay-de-jpg.392559

Miaka nenda rudi wasanii wenzake wanamkuta na wanamuacha, Kipaji anacho nauzuri wake kinamuingizia pesa za kutosha, ukiachana na muziki pia ni mjasiria mali ambae biashara zake zinamuingizia pesa chafu, Dada anamiliki ndinga matata range rover evoque model ya kisasa ambayo ni ndoto za mchana kwa wasanii wa kawaida

Kosa la kutokumuweka Ay limenifanya nisiamini wote hao
 
Nikajua utakuja na fact kama za fobes kuonesha kila mmoja kiwango anachomiliki kumbe ni upuuzi mtupu,akili yako inajua celebrity yupi anatisha ila unatafuta kiki tu hapa.
 
Nikajua utakuja na fact kama za fobes kuonesha kila mmoja kiwango anachomiliki kumbe ni upuuzi mtupu,akili yako inajua celebrity yupi anatisha ila unatafuta kiki tu hapa.
Angefanya utafiti juu ya uzalishaji katika mgodi huo bubu kisha ajue faida inayopatikana then akaanglia na upande wa kila celeb then tupate ukweli.Huenda mwenye mgodi akawa juu but tatizo likawa utafiti.Mimi ninaijua vizuri migodi bubu so inabidi mtu atumie ushahidi wa kutosha ili nimuelewe.
 
Diamond kamzidi Lady Jay Dee kwa hela? haha
 
Back
Top Bottom