Bongo: Top 3 Celebrities wenye pesa chafu

Bongo: Top 3 Celebrities wenye pesa chafu

Pesa chafu ukimaanisha sio halali?
Pesa chafu kama hizi
1472946116072.jpg
 
Weka bank statements zao na si porojo....pesa chafu kwa kupiga picha na gari?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comments za mgodi wa Masanja zimenichekesha ila hii kiboko!
Haha ni swali la msingii..kimgodi gani hiko labda anachukua magwangala anasafisha [emoji23] [emoji23]
 
Wakati mwingine nashindwa kuelewa watu wanaupimaje utajiri...

Nadhani haya ni maoni ya mtoa mada...kwa kuwa source ya habari ni yeye mwenyewe.....

All in all napongeza juhudi za huyu kijana katika kuyapigania mafanikio....na kweli amepiga hatua kubwa sana...kimaisha ukilinganisha na vijana wengine.....

HARD WORK PAY.....
 
Halafu huwa sipendi katika ishu ya diamond MTU amtolee mfano king ,mbona hamsemi kina Mr blue au chege au dully waloanza mziki kabla kiba, halafu huyo diamond mbona hujaweka vyanzo vyake vya mapato Kama ulivoweka kwa masanja au diamond anategemea mziki?! Basi Kama ni hivo tuamini na masanja uchungaj na comedy vinalipa, hela Ina siri kubwa jinsi inavotafutwa nyie kaeni hapo mnashadadia et fulan Ana hela zaidi ya huyu anajituma? ? Ila Mungu ndo anaejua siri ya pesa zao wote, ila kwamm roho yangu inagoma kuamini kwamba hawa watu pesa zao ni za halali, [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] tchaoo
Kiboko ya wote hapo ni kiba.
 
Hivi Mo sio celebrity?, Samatta je? na vipi kwa Hasheem?Tafsiri yako ya neno celebrity ni ipi?
 
wanasrmaga ukitaka kuongea kitu na watu wakuamini ongea kwa ushahidi na facts za ukweli, nisikuchoshe msomaji wa mada naenda direct kwenye kukujuza celebrities top 3 ya wasanii wenye pesa utitiri bongo

Number 1: Masanja mkandamizaji-
masanja98-jpg.392557

Mgodi wa dhahabu Wa Masanja huko geita:

Najua wengi kwa haraka haraka mlidhani hii namba itakuwa ni ya Diamond lakini La hasha, Masanja ni comedian maarufu Tanzania aliyewekeza kwenye miradi ya mpunga huko mbeya na pia anamiliki mgodi wake wa dhahabu,
Ni watu ambao hawana akili pekee watabeza juhudi za Masanja....Wakati mnapiga kelele mjini yeye yuko porini analima mpunga, wakati mnashinda vijiweni yuko polini anatafuta dhahabu, Wakati mnakula KFC yeye yuko busy anauza wali nyama na sahivi kafungua Burger points, Mwisho wa siku mnapiga kelele sijui unga sijui nini. hii pia imethibitishwa pale ambapo huyu bwana ana bmw x6 model ya kisasa na yenye bei kali kuzidi la mpinzani wake diamond platnumz

Number 2: Diamond platnumz-
diplatz-jpg.392558

Bongo tunamuita simba ila Afrika wanamuita king of pop, Hakuna msanii Bongo anayelipwa pesa nyingi kwa show moja kama Diamond, Kumekuwa na wasanii wenzake kama kina Ali kiba, Christian bela, n.k waliofanya mziki muda mrefu kuzidi yeye lakini kumkuta kimafanikio sio leo, Mafanikio hayaongelewi bali yanaonekana kijana ana nyumba yake nzuri madale na pia amewekeza katika kununua nyumba , pia kwa sasa ana label ya WCB ambayo amini usiamini inamuingizia pesa kila kukicha.

Number 3: Lady jay dee:
lady-jay-de-jpg.392559

Miaka nenda rudi wasanii wenzake wanamkuta na wanamuacha, Kipaji anacho nauzuri wake kinamuingizia pesa za kutosha, ukiachana na muziki pia ni mjasiria mali ambae biashara zake zinamuingizia pesa chafu, Dada anamiliki ndinga matata range rover evoque model ya kisasa ambayo ni ndoto za mchana kwa wasanii wa kawaida

Ushahidi wa kujua mapato ya mtu na utajiri wake ni jinsi anavyolipia kodi mapato yake je hao kwenye orodha ya walipa kodi wamo?
 
Back
Top Bottom