Bongo uaminifu na kuaminiana waislamu wako mbali sana

Ilo kwa muislam mwenye dini kwenye pesa ondoa shaka ila nikutahadhirishe usije ukaamini same kwenye kumwachia mkeo huko wengi hua wadhaifu sana ila kwenye pesa dhurma hua tunaogopa kupita maelezo.
Kwamba mashehe wanapenda Sana Chini[emoji4]
 
Sahii kabisa
Wale waislamu jina Wala kitimoto na bia hawapaswi kua kundi hili.

Nnaoqazungumzia ni wale washika dini haswa na swala 5 na wacha Mungu[emoji4]
Washika dini sana wanayale madubwasha yao ambayo husema hayana shida
 
Waislamu washika dini hasa na ambao wako kwenye biashara kitambo ndio hao wengi wana uaminifu mkubwa sana...otherwise wengine waliosalia utajuta ukiingia anga zao na ndio wapigaji wengi hapa mjini...kigezo cha dini kisikufanye ukamwamini mtu kwenye biashara
 
Siyo kila mwislam mwaminifu wewe, wapo kina Rashid wengi matapeli hapa mjini, limoja linaitwa Hassan kudadeki zake.
Kenge kati ya mamba...hata huku kwetu ambako tunatuhumiwa upigaji sio kwamba ni wote
 
Wafanyabiashara karibu wote wapo kwenye kundi hili
wizi
au
Ushirikina
Watakataa sana ilaa hilo kwa kilamtu kwa wakati wake atajithibitishia au ndan ya moyo wake anajua ukweli ila atapinga tu.
 
Nasubiri waje na hoja sio pinga pinga tu
Waje? Umejifunua. Hauna ukristu wala ukatoliki wowote. Kuweza kuwakumbuka, ni dhahiri kuwa ni exceptional. Wapigaji wako katika dini zote sio yenu tu. Kama vile vibaka wako wakina Mudi na wakina Joni. Kitu muhimu ni wewe kuwa muaminifu na kumpima mtu kwa anavyokutendea na sio kwa dini yake.
Acheni kuingiza udini katika kila kitu.

Amandla...
 
Uaminifu Vs Hofu
Hivi vitu husababishwa na nini?
 
Bado hujakutana na majambazi , matapeli na washirikina.

Kwa umri huu usitake kunidanganya mkuu, binadamu ni watu hatari kuliko hata maelezo.

Naheshimu tu dini na taasisi za watu ila kuna watu wachafu na wanajificha kwenye dini ila hawajakupatia tu pazuri wakupige.

Wanapigana huko huko na wanamalizana kimaya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…