Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio uongo kwa uaminifu wengi tuko vizuriNasubiri waje na hoja sio pinga pinga tu
Nafanya kazi na vijana wawili wa dini hiyo mwaka wa 5 huu hatujawahi kuonana lakini kazi inaenda fresh tuFunguka kdg mkuu
Sahii kabisaNafanya kazi na vijana wawili wa dini hiyo mwaka wa 5 huu hatujawahi kuonana lakini kazi inaenda fresh tu
Kazi yangu ni kuwafungia mizigo na kuwatumia, mauzo wanafanya wao na hela yangu wananitumia kwa uaminifu mkubwa tu
Huko kwingine nilishapigwa sana [emoji2][emoji2] uaminifu ni zero
Siyo kila mwislam mwaminifu wewe, wapo kina Rashid wengi matapeli hapa mjini, limoja linaitwa Hassan kudadeki zake.Nmefanya biashara na wakristo wenzangu mauzauza nmeyaona mkuu tofauti na wenzetu mashehe
Ukija uswazi huku utakutana nao.... 🤓🤓🤓🤓 Yaan uaminifu ni zeroHa ha ha .....Nani uyo
Ametoa hao je akija mwingine akawataja wakristo kama 10 hivi ambao wamewahi kufanya kazi bila utata hapo atasemaje? Uaminifu hautokani na dini wala kabila ila ni moyo wa mtuSubiri waje wagalatia wanaocheza team ya Pinga pinga FC uone mashambulizi yao.
Je hauoni wakufanana na sheikh ni mchungaji? Je ushawahi kufanya biashara na mchungaji?Sahii kabisa
Wakristo wengi uaminifu Changamoto Sana, binafs nikifanya dili na shehe yoyote nakua na amani Sana[emoji4]