Bongo uaminifu na kuaminiana waislamu wako mbali sana

Bongo uaminifu na kuaminiana waislamu wako mbali sana

Ukweli mtupu. Mimi waislamu karibu wote nilioanza nao kufanya kazi 2011 tuko vizuri hadi leo. Wengine tumekuwa kama familia
Sahii kabisa mkuu
Mashehe wanaheshimu Sana Makubaliano
Binafs pia Ni wachache Sana tumevurugana
 
Binafsi Ni mkristo mkatoliki na Niko kwny biashara Zaid ya miaka 18 sasa

Ila kiukweli jamii ya waislamu hasa wa Zanzibar, somali au bara wale wazee wa swala 5 Ni waaminifu sijapata kuona.

1. Kuna msomali mmoja mwaka 2008 ile bado mchanga biashara, hanijui simjui ndo mara ya kwanza nanunua mzigo kwake, ila aliniamini akanikopesha mzigo wa pesa ndefu kwamba nikishauza ntamtumia pesa zake. Kweli nikamrejeshea kwa uaminifu na tunafanya biashara vizur Hadi leo. Hatujawai dhurumiana hata Senti.

2. Kuna mpemba mmoja ni nafanya nae biashara yuko nje ya nchi mwaka wa 4 huu, simjui hanijui, Zaid ya calls na chats kupitia wasap, nilitumiwa TU namba kupitia mtu baki, ila uwa namtumia pesa ananitumia mzigo na mizigo mingine ananikopesha. Tunafanya biashara Safi kwa upendo wa Hali ya juu utadhani mtu na ndugu Yake.

3. Kuna ustadh mmoja msambaa anamiliki mpesa matawi kibao Hapa k'koo mengine kibaha na mbezi . Ila matawi yote mengine yanayosoma till za jina lake, kaweka mashehe wenzie waliokutana na kufahamiana mskitini na wanayamiliki na kuendesha 100% ili kutunza familia zao. Ustadh yeye kabaki na matawi 2 tu anayoyamiliki 100%.

4. Kuna mfanyabiashara mwenzangu Ni mrangi wa dodoma ila Ni shehe swala 5. Yeye tangu nimjue hajawahi kukopa pesa ya riba benki yoyote Hapa nchini, kwake riba Ni haramu.
Akiwa na shida na pesa au mtaji umeyumba anaazima kwa mashehe wenzie uko mskitini na kurejesha Kama zilivyo.

5. Kuna mwislam mmoja mrangi Yuko Moro, nmemtumia sana kipind flan nafanya biashara ya nafaka. Huyu Tumejuana TU barabarani Tena kijiwe Cha draft, nikawa namtumia pesa ananikusanyia nafaka na kupakia kwny fuso na kunitumia dar. Ila mpaka naacha ile biashara, hajawahi nidhurumu hata Senti moja. Tuna maelewano mazur Hadi Leo.

6. Mwingine Ni shehe mmoja msomali agent binafs wa magari used yuko japan, ila ana wateja wengi Tanzania ,Zambia Hadi Uganda na Congo. Mteja analipia,gari inasafirishwa Hadi Uganda,Zambia kwa uaminifu mkubwa.
Anasifiwa Sana uaminifu kule kwny uzi wa magari used japan.

7. Mwingine Ni mpemba mmoja shehe anajiita Abdulwahid Yuko zanzibar anauza tv Toka Dubai, anasifiwa Sana kwa uaminifu kule Uzi wa wauza tv. Nami pia nishafanya nae biashara,hanijui simjui, Nikamtumia pesa ndefu akanitumia mzigo wangu Safi kabisa nikaupata Bila longolongo.

Mifano Ni mingi Sana,
Ila nikiri waislamu wako mbali Sana kwenye suala zima la uaminifu.

Nawasilisha[emoji1431]
Kuna ukweli...
 
From my experience, Ukianza biashara na mtu unanunua kwake na ukawa na trend nzuri kibiashara na mkazoeana na yeye akaona wewe ni potential kwenye biashara yake lazima itafika level ya kupeana mizigo ya mamilioni ,hii ipo sana na inafanyika kariakoo etc...lakini huwezi ukawa start up business, mzigo wa kwanza au mwanzoni mtu akupe hakujui ufanyaji wako biashara ni ngumu..Hata mimi na ukristo wangu nikiona commitment ya mtu kwenye biashara naweza mpa mzigo pesa ataleta..
 
Binafsi Ni mkristo mkatoliki na Niko kwny biashara Zaid ya miaka 18 sasa

Ila kiukweli jamii ya waislamu hasa wa Zanzibar, somali au bara wale wazee wa swala 5 Ni waaminifu sijapata kuona.

1. Kuna msomali mmoja mwaka 2008 ile bado mchanga biashara, hanijui simjui ndo mara ya kwanza nanunua mzigo kwake, ila aliniamini akanikopesha mzigo wa pesa ndefu kwamba nikishauza ntamtumia pesa zake. Kweli nikamrejeshea kwa uaminifu na tunafanya biashara vizur Hadi leo. Hatujawai dhurumiana hata Senti.

2. Kuna mpemba mmoja ni nafanya nae biashara yuko nje ya nchi mwaka wa 4 huu, simjui hanijui, Zaid ya calls na chats kupitia wasap, nilitumiwa TU namba kupitia mtu baki, ila uwa namtumia pesa ananitumia mzigo na mizigo mingine ananikopesha. Tunafanya biashara Safi kwa upendo wa Hali ya juu utadhani mtu na ndugu Yake.

3. Kuna ustadh mmoja msambaa anamiliki mpesa matawi kibao Hapa k'koo mengine kibaha na mbezi . Ila matawi yote mengine yanayosoma till za jina lake, kaweka mashehe wenzie waliokutana na kufahamiana mskitini na wanayamiliki na kuendesha 100% ili kutunza familia zao. Ustadh yeye kabaki na matawi 2 tu anayoyamiliki 100%.

4. Kuna mfanyabiashara mwenzangu Ni mrangi wa dodoma ila Ni shehe swala 5. Yeye tangu nimjue hajawahi kukopa pesa ya riba benki yoyote Hapa nchini, kwake riba Ni haramu.
Akiwa na shida na pesa au mtaji umeyumba anaazima kwa mashehe wenzie uko mskitini na kurejesha Kama zilivyo.

5. Kuna mwislam mmoja mrangi Yuko Moro, nmemtumia sana kipind flan nafanya biashara ya nafaka. Huyu Tumejuana TU barabarani Tena kijiwe Cha draft, nikawa namtumia pesa ananikusanyia nafaka na kupakia kwny fuso na kunitumia dar. Ila mpaka naacha ile biashara, hajawahi nidhurumu hata Senti moja. Tuna maelewano mazur Hadi Leo.

6. Mwingine Ni shehe mmoja msomali agent binafs wa magari used yuko japan, ila ana wateja wengi Tanzania ,Zambia Hadi Uganda na Congo. Mteja analipia,gari inasafirishwa Hadi Uganda,Zambia kwa uaminifu mkubwa.
Anasifiwa Sana uaminifu kule kwny uzi wa magari used japan.

7. Mwingine Ni mpemba mmoja shehe anajiita Abdulwahid Yuko zanzibar anauza tv Toka Dubai, anasifiwa Sana kwa uaminifu kule Uzi wa wauza tv. Nami pia nishafanya nae biashara,hanijui simjui, Nikamtumia pesa ndefu akanitumia mzigo wangu Safi kabisa nikaupata Bila longolongo.

Mifano Ni mingi Sana,
Ila nikiri waislamu wako mbali Sana kwenye suala zima la uaminifu.

Nawasilisha[emoji1431]
Hapo Kariklakoo unamfahamu JB mkuu?
 
Unanikumbusha wakati ndio naingia first year nilikuwa room Moja na mchizi flani hivi ambae dada yake alikuwa mwaka tatu lakin chuo kingine mkoa tuliokuwepo. Yule sister aliekuja room akamwambia ndugu yake jichangane na waislamu ni waaminifu sana watakusaidia.

Mimi nlikuwa nimelala ila usingizi haukinipitia sana nlikuwa nasikia Kila kitu

Yule mchizi Hadi leo tumekuwa na bond kubwa sana

Tumekuwa kama ndugu na hata familia zetu Zina fahamiana

Na huyu mchizi alikuwa akiniamsha swala ya Alfajir huwezi amini

Jamaa ni mgalatia ila kanisani sijui aliua mana hataki kuenda kabisa na ni muaminifu zaidi ya sana.
 
Next time utuletee uzi ulivyopigwa na wagalatia.
Mimi nimepigwa sana na wagalatia wa vijijini kwenye mashamba.
Unamtumia hela apruni miti unachoenda kukikuta ni pori la miti.
Kuna miti yangu sasa ina miaka 8 no prooning.
Kuna mmoja alitutafutia shamba la viazi wife akamkabidhi kaki 9 anunue mbegu. Alinunua za Laki 3 na kuiba mpira mmoja wa kumwagilia akapeleka shambani kwake.
Nikaamua kuondoka kile kijiji 2015. Juzi kati kanopigia eti nimsamehe nirudi kulima kule tena .
Mimi nina kesi nyingi sana ngoja niishie hizo mbili
 
Back
Top Bottom