Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Daaah hiyo unaumaga sana hata tigo ingekaa powa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umehamia huku tena 😂Halafu vijana kama unaomba mzigo msiwe na zile kupinda na vimisemo havielewiki eti kuzindua penzi , we mwambie tukitoka kunywa nataka nikakutomb3, unakuta kwa uoga wako ulimpa taarifa kwa mafumbo hakuilewa code sasa hivi unamfungulia uzi.
Alinikuta siwezi kung'ang'ania mwili wa mtu 😅 kuna siku atakutana na vijana wa plan B, Atajua hajui.🤣🤣🤣🙌🏾 siamini hii trick bado inatumika in 2023. Kama unampa mtu mpe hii beating around the bush is so old school
Sema huo mtandao huwa siikubali network yake, Acha tu nibaki huku😎Daaah hiyo unaumaga sana hata tigo ingekaa powa
Shkamoo dada To yeye..!! 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hiyo ni dhuluma
Alikuja kwa ahadi ya kuliwa na alipanga yeyeKwani ilikuwa lazima umle siku hiyo yenywewe?
Kama amekuelewa mbona atakutafuta tu mwenyewe.Mambo mazuri huwa hayataki haraka.Kuwa na subira.
Acha mambo yako, unazindua umekuwa mradi huo? 😂, Mwanamke mwambie direct na uwazi atoke huko atokako kajiandaa.Umehamia huku tena 😂
Hiyo kuzindua ni lugha ya jf tu mkuu. Mawasiliano yetu ni black and white,
Mkuu Ngalikihinja nisaidie kumwelewesha huyu jombaa wa kulipa bill😂Acha mambo yako, unazindua umekuwa mradi huo? 😂, Mwanamke mwambie direct na uwazi atoke huko atokako kajiandaa.
KabisaaaaEwaaaa kumbe leo umeamka vizuri. 😂👍👍
Pokea maua yako kabisa💐💐💐💐💐Kabisaaaa
Fumba macho kula ndogoNi kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.
Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…
Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. [emoji29]
Sio makubaliano lakini.Si kashakuwa mpenz wako itakula siku hazigandi
Wahuni either tupite ivo ivo au tukanyage tope atachaguaNi kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.
Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…
Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. 😓
Eee eeeh hapana kwa kweli, 🙆🙆🙆
Umemaliza kabisaa😂Wahuni either tupite ivo ivo au tukanyage tope atachagua
Tatizo wanaume wengi wakibongo ha tuko directly 😂😂😂 , kama ilikuwa wa kumla kulikuwa hakuna haja ya mambo yote hayo zaid tafuta hotel agizen vinywaji then fanya yakoSio makubaliano lakini.
Kwa hiyo nilikosea kumpa ofa ya dina??Tatizo wanaume wengi wakibongo ha tuko directly 😂😂😂 , kama ilikuwa wa kumla kulikuwa hakuna haja ya mambo yote hayo zaid tafuta hotel agizen vinywaji then fanya yako
Sio makubaliano lakini.I