Bongo usanii mwingi

Bongo usanii mwingi

Mkuu tulipanga wiki nzima, na hata hiyo siku alisema yuko Poa kabisa, ndio maana tukaanza na dinner then mida tutukachakate. Tatizo alikubali alijua ananitapeli😂
Hapo sasa ilibid na wewe umkomoe.Mngesaidiana kuhakikisha mnaiosha vizuri halaf unaandaa rough rider yako kiroho ngumuu.Maana uhuni siii kaanza yeye!?
 
Mh aisee kisa nini kutupa mshtuko wote huu?
Kani-video call akiwa na mpenzi wake mpya guest wakiwa wanaandaana kutafanana mbususu[emoji24][emoji24]

Kwa dharau zaidi wakaanza kunicheka, huku mpenzi wangu akimkazania yule bebe mpya na kumwambia, "Leo uniumize mpaka unyofoke nacho". Kwa dharau zaidi wakatengeneza comfrence call, wakamuunganisha na ex wa mshkaji ili aumie.

Cha ajabu ex wa mshkaji akasogeza camera pembeni, kikaonekana kidume na mtambi mkubwa kinatoka kuoga. Wawili wale wakaamua kuangua kicheko tena

Inauma sana![emoji24][emoji24][emoji24]
Wanawake mtatuua jamani
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah! Watu walidanganyika kwa picha tu. Yule bidada niliyemuajiri alijua kucheza na kipa, mpaka raha!

Watu walipasuka miamala asikwambie mtu
Tuogope sana majina ya kike. Kwa hali hii, hata mimi the storyteller ilifikia mahala nikawa namuogopa roselyn2
Utafumuliwa linda
 
Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.

Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…

Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea buree
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. [emoji29]
Mkuu kwani weye ni msukuma?
Period huwa iko mbele tu ila kule kwingine kuko fiti ungejiongeza usingekuja kulalamika maana hata yeye binti alijua yuko period lakini kakubali kuja akijua utajiongeza upitie kwenye mlango wa dharula lakini umetoka bila bila.!
 
unakwama wapi komredi ? ungemla Tigo
Jamaa mtu wa ajabu sana...anaeleza nini hiki kwa wanaume!?

Anashindwa kumpindua samaki upande wa pili!? ...au alikuwa anasubiri maelekezo!?...

Angeileta Hii msg humu wakati wa tukio husika...tumsaidie wabobezi wa kuzama topeni!
 
Mkuu tulipanga wiki nzima, na hata hiyo siku alisema yuko Poa kabisa, ndio maana tukaanza na dinner then mida tutukachakate. Tatizo alikubali alijua ananitapeli[emoji23]
We jamaa mshamba sana yaani unadhani yeye demu alipokubali hakujua kwamba anakuja kukupa nini?
Ndio tatizo la vijana wa sasa hamjui mbinu za kivita hapo alipokwambia yuko mp tu mboo ikalala ukasinzia kabisa bila hata kuhakikisha kama kweli ujaribu plan b maana hata ungepima oil ukakuta yuko mp bado kulikuwa na plan b hata yeye alikuja akijua hivyo
 
Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.

Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…

Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea buree
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. 😓
😅😅😅
 
Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.

Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…

Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea buree
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. 😓
Hiyo Laki nzima uliyotumia ungemtumia Mama yako ungebarikiwa sana.
 
Back
Top Bottom