Bongo usitake kutengenezewa app, bora ununue template na wakufanyie customization.

Bongo usitake kutengenezewa app, bora ununue template na wakufanyie customization.

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Siku hizi mambo rahisi sana. Si mpaka uanze kutengeneza app from scratch. App karibu zote wahindi wametengeneza na wanaziuza. We chakufanya nunua tu na IT akuwekee sawa. Kutengeneza wanachukua muda mrefu sana, wasumbufu na kazi itatoka haina viwango kabisa. Hizi za kununua zipo vizuri sana. Na hata ndani ya wiki unaweza kuwa na app yako tayari, tena ya standard ya hali ya juu. Nimeona site kama codecanyon app zinauzwa hadi dola 30. 40 nk.

Mambo ya kuhangaishana na programmers wa bongo ni michosho sana.
 
Siku hizi mambo rahisi sana. Si mpaka uanze kutengeneza app from scratch. App karibu zote wahindi wametengeneza na wanaziuza. We chakufanya nunua tu na IT akuwekee sawa. Kutengeneza wanachukua muda mrefu sana, wasumbufu na kazi itatoka haina viwango kabisa. Hizi za kununua zipo vizuri sana. Na hata ndani ya wiki unaweza kuwa na app yako tayari, tena ya standard ya hali ya juu. Nimeona site kama codecanyon app zinauzwa hadi dola 30. 40 nk.

Mambo ya kuhangaishana na programmers wa bongo ni michosho sana.
Ni jambo jema, tunaichukua hii
 
Bado haiondoi radha ya App iliotengenezwa from scratch kwa code kama Java script,python izo DIY zinakua na limit nyingi mnoo na Update mpaka uwatafte waliokuizia ni kujichosha tu
 
Wabongo mpaka leo tumegoma kukubali concept ya cheap is expensive! Na tukakaza kichwa kukubali kabisa kua hapahapa kuna wabongo wana kazi nzuri safi na wana perfom well internationally ila hawafahamiki, techs are lowkey people!

Siku ukitaka ku-update tena app yako au kuifanyia mabadiliko utafanyaje? Ndo haya mambo unakuta baada ya mda app inakua outdated na unashindwa kuimanage kirahisi iendane na mahitaji kwa muda! Ukizingatia una competition binafsi watu wanakukimbia.

Kingine kazi zenyewe za kibongobongo zinakatisha tamaa mtu anataka kazi nzuri kwa pesa ndogo. Changamoto!
 
Siku hizi mambo rahisi sana. Si mpaka uanze kutengeneza app from scratch. App karibu zote wahindi wametengeneza na wanaziuza. We chakufanya nunua tu na IT akuwekee sawa. Kutengeneza wanachukua muda mrefu sana, wasumbufu na kazi itatoka haina viwango kabisa. Hizi za kununua zipo vizuri sana. Na hata ndani ya wiki unaweza kuwa na app yako tayari, tena ya standard ya hali ya juu. Nimeona site kama codecanyon app zinauzwa hadi dola 30. 40 nk.

Mambo ya kuhangaishana na programmers wa bongo ni michosho sana.
Unaongea na muajiri au muajiriwa mwenye ujuzi wake? Okay kwa mimi nilivoelewa ni kuwa unawalenga waajiri wasio na uwezo wa kutengeneza apps. Swali: Baada ya kununua hiyo tempelate na kufanya customization, Je ni nani atakufanyia maintainace au kuongeza na kupunguza feautures. Nani atakufanyia backend kuhakikisha app yako ina function vizuri, etc.. Usichukulie vitu kirahisi rahisi kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na developer kusimamia kazi yako hata kama utanunua tempelate. Na kusema developers wa bongo ni michosho jiulize na wewe unayemwajiri developer, Je unaenda nae sawa kwenye makubaliano na malipo? Au ndo watu weusi hatupendani na hatuaminiani?
 
Back
Top Bottom