tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Mara kadhaa utawasikia wabongo wanalalama saaana, kwamba kampuni fulani ya simu, vifurushi vyake ni ghali sana, na hivyo watahamia kwa mpinzani.
Bila shaka wengi wao hawajui kwamba vifurushi vyetu ni bei chee sana. Kuna nchi za Afrika ambazo kupiga simu na kutumia mobile data ni anasa kubwa.
Afrika kusini, ukiwa na MTN huwezi pata 1GB ya wiki 2 kama huna zaidi ya Tsh 25,000/=.
Jirani Kenya, SafariCom wanauza 1GB ya mwezi kama kwa Tsh 10,000/=.
Rwanda 1GB ya wiki MTN wanafanya zaidi ya Tsh 15,000/=.
Wakati Uganda 1GB ya week inauzwa na MTN kwa Tsh 8,000/=.
Hebu linganisha hizo gharama na upatacho Voda, Tigo, Airtel, Halotel na Smart!!!
Bila shaka wengi wao hawajui kwamba vifurushi vyetu ni bei chee sana. Kuna nchi za Afrika ambazo kupiga simu na kutumia mobile data ni anasa kubwa.
Afrika kusini, ukiwa na MTN huwezi pata 1GB ya wiki 2 kama huna zaidi ya Tsh 25,000/=.
Jirani Kenya, SafariCom wanauza 1GB ya mwezi kama kwa Tsh 10,000/=.
Rwanda 1GB ya wiki MTN wanafanya zaidi ya Tsh 15,000/=.
Wakati Uganda 1GB ya week inauzwa na MTN kwa Tsh 8,000/=.
Hebu linganisha hizo gharama na upatacho Voda, Tigo, Airtel, Halotel na Smart!!!