Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi.
Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu), maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu sijui huku kafikaje ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa.
Swali langu ni hili, huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini?