Bongo Zozo ni nani na amefuata nini Tanzania?

Bongo Zozo ni nani na amefuata nini Tanzania?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1634846306716.jpg

Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi.

Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu), maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu sijui huku kafikaje ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa.

Swali langu ni hili, huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini?
 
Mwanamke wa Kibongo 'anayemkaza' ambaye pia ni Mwandishi wa Habari za Michezo ( ambaye zamani alitoka na aliyekuwa Boss wa CECAFA Mkenya Nicolas Musonye ) kamdatisha hadi kasahau Kwao 'Unyamwezini' na Kichwa chake chote kimejaa tu Upendo 'Uliotukuka' kwa Tanzania.

Hana Ujasusi wowote acheni Kudanganyana katika hili isipokuwa kaamua kutumia 'Strategy' hii ya Kujikita katika Mpira ili apate 'Fame' kisha azidi kuwekeza Kibiashara Tanzania na awe anapata 'some favors' kutoka Serikalini na uzuri ni kwamba tayari kuna 'Senior Government Officials' ameshawaweka Mfukoni mwake pamoja na Watangazaji na Waandishi wa Habari za Michezo nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom