Bongo Zozo ni nani na amefuata nini Tanzania?

Bongo Zozo ni nani na amefuata nini Tanzania?


Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi.

Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu), maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu sijui huku kafikaje ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa.

Swali langu ni hili, huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini?
Mkweo huyo, I mean shemeji yako whatever samahani wifi yako huyo mnyaru kaoa kwemu huko so ni mbongo. So, alifuata mke alifuata mapenzi Tanzania. Ukipenda boga penda na ua lake. Jamaa alipenda mke na nchi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Bongo Zozo aligombea kipengere gani ?

Hakugombea, bali alipendekezwa na kamati kwenye kipengele cha mhamasishaji bora.

Na vigezo na masharti walikuwa navyo wao/kamati wenyewe kwenye vipengele vyote na kipengele husika kumalizia uteuzi, labda tuombe kitini chao cha sifa ili kujiridhisha.
 
Bongo zozo jamaa anaonesha Ana mapenzi sana na Tanzania namfuatilia tu mtandaoni ila nilitaka kujua kwa undani wake.

Je, yeye ni nani na Ana uhusiano upi na Tanzania?

Ana Uraia wa nchi gani?

Ana nufaika nini kuonyesha mapenzi ya hali ya jua kwa Tanzania?

Ana Fanya kazi gani maana anazunguka nchi nyingi sana Duniani?


 
Mpaka Huwa nahisi utumwa Bado upo. Isije ikawa huyu mwamba ni missionary kama wale waliikujaga enzi za utumwa 🙆🙆🙆​
 
Huyu hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20231027-223850_Google.jpg
    Screenshot_20231027-223850_Google.jpg
    18.7 KB · Views: 5
Bongo zozo jamaa anaonesha Ana mapenzi sana na Tanzania namfuatilia tu mtandaoni ila nilitaka kujua kwa undani wake.

Je yeye ni nani na Ana uhusiano upi na Tanzania?

Ana Uraia wa nchi gani?

Ana nufaika nini kuonyesha mapenzi ya hali ya jua kwa Tanzania?

Ana Fanya kazi gani maana anazunguka nchi nyingi sana Duniani?
Kizungu kimoja kichonganishi chonganishi fulani hivi
 
Back
Top Bottom