Captain 22175
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 249
- 407
Amefuata uhamasishajiNchi haina uraia wa nchi mbili na huyu Bongo zozo, amefuata nini Tanzania?
Swali la msingi sana hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefuata uhamasishajiNchi haina uraia wa nchi mbili na huyu Bongo zozo, amefuata nini Tanzania?
Swali la msingi sana hili
Bongo Zozo aligombea kipengere gani ?Tuzo si za ligi kuu, bali ni tuzo za TFF ikihusisha ligi zote na timu ya taifa.
Mkweo huyo, I mean shemeji yako whatever samahani wifi yako huyo mnyaru kaoa kwemu huko so ni mbongo. So, alifuata mke alifuata mapenzi Tanzania. Ukipenda boga penda na ua lake. Jamaa alipenda mke na nchi
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi.
Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu), maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu sijui huku kafikaje ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa.
Swali langu ni hili, huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini?
Kati ya Taifa stars na club za Ligi kuu IPI kubwa?tuzo aliyopewa ni ya nini wakati yeye ni wa Taifa Stars tu ?
Bongo Zozo aligombea kipengere gani ?
Unataka kusema haumjui auWekeni picha yake
Kizungu kimoja kichonganishi chonganishi fulani hiviBongo zozo jamaa anaonesha Ana mapenzi sana na Tanzania namfuatilia tu mtandaoni ila nilitaka kujua kwa undani wake.
Je yeye ni nani na Ana uhusiano upi na Tanzania?
Ana Uraia wa nchi gani?
Ana nufaika nini kuonyesha mapenzi ya hali ya jua kwa Tanzania?
Ana Fanya kazi gani maana anazunguka nchi nyingi sana Duniani?
Alisema watanzania hawataki chanjo ati wanaogopa wazungu wanatumia mbinu kuwaibia mali zaoAna nufaika nini kuonyesha mapenzi ya hali ya jua kwa Tanzania?
For sure he isNi spyware
Wakala ni kama gabachori wanavyo donate kwenye siasa za kijaniNa kaoa mbongo kabisa
Jamaa anaipenda sana bongo hasa taifa stars.
Sometimes haifai kuhofia mengine anaipenda Tanzania