Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Kwanini asijiite tanzanite, akaamua kujiita jina Baya Bongo zozo, Bongo zezetaFor sure he is
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini asijiite tanzanite, akaamua kujiita jina Baya Bongo zozo, Bongo zezetaFor sure he is
Ukimtazama kwa jicho la tatu utagundua ana agenda nyingine kwapaniKwanini asijiite tanzanite, akaamua kujiita jina Baya Bongo zozo, Bongo zezeta
Anakula mema ya nchiKama ni kuzunguka, bongo zozo amezunguka kuliko hata dunia inavyozunguka. Sijui anajihusisha na nini adi amudu kufanya hayo yote.
SanaAnakula mema ya nchi
Huyu jamaa anatuzalilisha SEMA Tu watu 😂 hawataki kutumia akiliUkimtazama kwa jicho la tatu utagundua ana agenda nyingine kwapani
Huyu jamaa ni munafiki TuNi moja watu nisio wapenda juu sijui kwanini?
Ameoa na Kuzaana Mwanamke wa Kitanzania, Mkewe ni Mchaga.Bongo zozo jamaa anaonesha Ana mapenzi sana na Tanzania namfuatilia tu mtandaoni ila nilitaka kujua kwa undani wake.
Je yeye ni nani na Ana uhusiano upi na Tanzania?
Yeye ni Raia wa UingerezaAna Uraia wa nchi gani?
Ni mapenzi tu aliyonayo kwa Tanzania kama nchi ambayo amewahi kuishi na kubahatika kupata Mke.Ana nufaika nini kuonyesha mapenzi ya hali ya jua kwa Tanzania?
Bongo Zozo ni trader, ni mmoja wa "Early Adopter" wa Bitcoin na Cryptocurrency lakini pia ni Collector wa Coins haswa zile za Zamani. Kwa wenzetu watu aina ya Bongo Zozo wanaitwa "Digital Nomad" hajaajiriwa na mtu yeyote yule, mtaji wake mkubwa ni Laptop yake na uwepo wa mtandao wa internet sehemu yoyote atakayokuwepo kwani shughuli zake za kumuingizia kipato zinahitaji vitu hivyo kama vitendea kazi.Ana Fanya kazi gani maana anazunguka nchi nyingi sana Duniani?
Sababu una roho mbaya na hii ndio tabia kubwa ya mtu mweusi inayomrudisha nyuma. Kuchukia watu bila sababu. Ni tabia ya kimaskini na laana. Omba Mungu akusaidie uepukane nayo. Ukimchukia Bongo Zozo we unapata nini? Kakuibia chochote?Ni moja watu nisio wapenda juu sijui kwanini?
Okay.Sababu una roho mbaya na hii ndio tabia kubwa ya mtu mweusi inayomrudisha nyuma. Kuchukia watu bila sababu. Ni tabia ya kimaskini na laana. Omba Mungu akusaidie uepukane nayo. Ukimchukia Bongo Zozo we unapata nini? Kakuibia chochote?
Naungana nawe, hakika ukikaa kwa umakini ukimtazama ni anatudhalilisha sio kidogo.Huyu jamaa ni munafiki Tu
Badilika, utapata baraka na mafanikio zaidi ya uliyonayo sasa. Sisi sote ni Binadamu tunahitaji upendo na haki sawa. Analofanya mwingine kama halikuvutii basi liache tu ila usijenge chuki.Okay.
🤣🤣🤣Huyu hapa
Nisicho kipenda toka kwake ni maudhui yake tu!Badilika, utapata baraka na mafanikio zaidi ya uliyonayo sasa. Sisi sote ni Binadamu tunahitaji upendo na haki sawa. Analofanya mwingine kama halikuvutii basi liache tu ila usijenge chuki.
Je yeye ni nani na Ana uhusiano upi na Tanzania?
Ana Uraia wa nchi gani?
Ana nufaika nini kuonyesha mapenzi ya hali ya jua kwa Tanzania?
Ana Fanya kazi gani maana anazunguka nchi nyingi sana Duniani?
Wana promot mambo ya kijinga kijinga,Nisicho kipenda toka kwake ni maudhui yake tu!
View attachment 2795079