Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseee !!
Duh !Majibu ya maswali yako yapo humo humo ulipoandika,rudia kusoma vizuri ulichoandika utamjua
Hakuna cha bure ndugushida ikowapi ila bongo mbona tuna husda sana kwani kuna shida yoyote baada ya ku feel proud jamaa anatangaza sana nchi yetu tunaanza tena kumpinga jamaa kweli bongo kuna watu wana wivu
tuzo aliyopewa ni ya nini wakati yeye ni wa Taifa Stars tu ?Mpenzi wa soka asiyeumiza.
Ko unataka kusema jamaa anatuchoresha😁😁😁😁Hakuna cha bure ndugu
Nililiombea na kulitarajia sana kutokea.Angeshinda Manara humu pasingetosha kwa kejeli na matusi, angeshinda Mjita Brire Masau, kebehi zingekuwa za hqja ya kutosha!
Kuziba hayo kutokea wamempa "siye na Chama" tuzo!
Hayo ndio maajabuIla inashangaza tuzo ya ligi kuu msimu ulioisha sasa bongo zozo eti kamshinda masau bwire kweli au haji manara izo sio tuzo ni ulofa na kutuona wapumbavu....
Ko wameamuwa kubalance na kuweka uhalisia pembenAngeshinda Manara humu pasingetosha kwa kejeli na matusi, angeshinda Mjita Brire Masau, kebehi zingekuwa za hqja ya kutosha!
Kuziba hayo kutokea wamempa "siye na Chama" tuzo!
Ndicho tunachoweza kwa sasa Watz.K
Ko wameamuwa kubalance na kuweka uhalisia pemben